Nimekutana na mtu anauza manati

Nimekutana na mtu anauza manati

manati nika balistic missile fulani kakupigia panya wanaosumbua mtaani unakaa kona fulani hakikisha unalenga jicho.
 
Ajabu kwangu si upande wa silaha. Chochote kile ni silaha hata Mavi yanaweza kuwa silaha dhidi ya adui ila hayauzwi.
Back then jamaa akazingua kwenye klabu flan cha Gongo klabu kikaacha kukalika na wateja kadhaa wakakimbia bila kulipa. Mwenye klabu akaita polisi jamaa alivyoona polisi akaenda choo jiran na kujipaka Mavi mwili mzima polisi wakamuacha. Sijui ikiwa walimtafuta kwa muda mwingine akiwa kaoga na kubadili pamba zingine, sijui.
ajabu yangu Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kuuza manati? 🙁
1.Sema Manati kwa kiingereza
2.Manati yanasaidia sana kuwakabili panyaroad
 
Manati zinauzika sana Dar es salaam sababu ya Kunguru na watu wengi wanafuga kuku au bata so soko lipo
 
Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.

Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.


Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.

View attachment 2221716
Mm mwenyewe nilishanga Kama wee Kuna mam nimemkuta nae anauza Happ keko sokoni pmj na majiko ya mkaa ilibidi nimuulize za Kaz gani wakt huku Hakuna mdege wa kuwalenga

Aise kumbe sina Kaz mahal ya kufunkuza kunguru .yaani kunguru akiona mahali au mtu kashika manati azogei hapo maisha anakimbia mita elf moja kadha kuofia usalama wake
 
Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.

Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.


Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.

View attachment 2221716
Wapo wengi tuu mbona
 
Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.

Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.


Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.

View attachment 2221716
Zinafaa sana kwa Panya Road...
 
Atakua ana wateja si bure
Mjini akili
 
Sawa. Jaribu kuvaa uhuska wauzaji wa manati.
Kuna nyakati mambo usimama. Wewe kama wewe unaweza acha mkeo na watoto nyumbani ukaenda uuza manati kitaa?
mkuu mbona una nongwa sana na hiyo biashara huyo anayeuza hayo manati ndo anajua inamnufaisha vipi hadi ameyatengeneza maana yake wateja wa kununua ayo manati anao hivyo mkuu jifunze kitu ambacho wewe huna mahitaji nacho wala ukitumii haimaanishi eti kwa wengine haikihitajiki au hakina matumizi wapo wanaohitaji kile ambacho wewe unakiona cha kipuuzi au hakina maana ila kwa wengine hicho kitu ni lulu so usifosi mfanane..
 
mkuu mbona una nongwa sana na hiyo biashara huyo anayeuza hayo manati ndo anajua inamnufaisha vipi hadi ameyatengeneza maana yake wateja wa kununua ayo manati anao hivyo mkuu jifunze kitu ambacho wewe huna mahitaji nacho wala ukitumii haimaanishi eti kwa wengine haikihitajiki au hakina matumizi wapo wanaohitaji kile ambacho wewe unakiona cha kipuuzi au hakina maana ila kwa wengine hicho kitu ni lulu so usifosi mfanane..
Kazi ni kazi ila kuna kazi zingine ni boshen ukikutana nae hautokuwa salama.
Then upo sahihi.
 
unashangaa mtu anajipambania tumbo lake acha uboya
lau kama haziuzik asingetembea barabarani
 
Back
Top Bottom