Nimekutana na mtu anauza manati

Nimekutana na mtu anauza manati

let the caged bird sings

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2020
Posts
4,179
Reaction score
9,750
Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.

Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.


Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.

20220512_143624.jpg
 
Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.

Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.


Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.

View attachment 2221716
Nilizikuta dukani, Marekani. Nikachukua mbili za kwenda kukimbizana na tumbili wadoezi wa matunda yetu Tanga.
 
Si kila kinacho uzwa kinawateja chief moja wapo ni iki anachokiuza huyu jamaa.
Mbaya zaidi kinauzwa town[emoji23]
Sasa rafiki kama hana wateja atauzaje hizo manati?Labda useme anatembeza.Ila ukweli mimi niliwahi kukuta mtu ananunua Tshs 1,000/=.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Tambua manati ni Siraha ambayo ikitumika vibaya inauwezo wa kuua na ukishitakiwa kwa kosa la kutumia manati ktk shambulizi adhabu yake itakuwa sawa na siraha zingine

Soko lake kwa mjini hutumika sana na walizi especially wa usiku na wachache kutumia nyumbani kama siraha au shambani kwajili ya kuhamia ndege, Ngedele nk lkn pia hii siraha inawatumiaji wachache wenye experience hasa legend kama sisi hawa wa mjini sio rahisi
 
Ajabu nini? Hujui manati ni bonge la silaha?
Ajabu kwangu si upande wa silaha. Chochote kile ni silaha hata Mavi yanaweza kuwa silaha dhidi ya adui ila hayauzwi.
Back then jamaa akazingua kwenye klabu flan cha Gongo klabu kikaacha kukalika na wateja kadhaa wakakimbia bila kulipa. Mwenye klabu akaita polisi jamaa alivyoona polisi akaenda choo jiran na kujipaka Mavi mwili mzima polisi wakamuacha. Sijui ikiwa walimtafuta kwa muda mwingine akiwa kaoga na kubadili pamba zingine, sijui.
ajabu yangu Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kuuza manati? 🙁
 
Ajabu kwangu si upande wa silaha. Chochote kile ni silaha hata Mavi yanaweza kuwa silaha dhidi ya adui ila hayauzwi.
Back then jamaa akazingua kwenye klabu flan cha Gongo klabu kikaacha kukalika na wateja kadhaa wakakimbia bila kulipa. Mwenye klabu akaita polisi jamaa alivyoona polisi akaenda choo jiran na kujipaka Mavi mwili mzima polisi wakamuacha. Sijui ikiwa walimtafuta kwa muda mwingine akiwa kaoga na kubadili pamba zingine, sijui.
ajabu yangu Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kuuza manati? 🙁
Tambua manati ni Siraha ambayo ikitumika vibaya inauwezo wa kuua na ukishitakiwa kwa kosa la kutumia manati ktk shambulizi adhabu yake itakuwa sawa na siraha zingine

Soko lake kwa mjini hutumika sana na walizi especially wa usiku na wachache kutumia nyumbani kama siraha au shambani kwajili ya kuhamia ndege, Ngedele nk lkn pia hii siraha inawatumiaji wachache wenye experience hasa legend kama sisi hawa wa mjini sio rahisi
 
Back
Top Bottom