Nimekutana na kitu cha ajabu sana

Nimekutana na kitu cha ajabu sana

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,901
Reaction score
14,611
Miaka ya sitini katikati kulikuwa na mzee mmoja anauza genge pahala,

alikuwa ni maarufu sana,

Hivi majuzi nimekutana nae na cha jabu alikuwa amevaa shati lile lile maarufu, nikadhani labda ninaota...nikamuita fulani?? akaitika naam....nikamuuliza siku hizi upo wapi, akanijuza yu sehemu inaitwa NOMBO, Wakati natafakari Nombo ni wapi, akawa kama anazungumza na mtu mwingine na wakati huo huo kuna meseji ilikuwa inaingia simuni mwangu, baada ya kumaliza kusoma ile meseji sikumuona tena yule mzee,

Hebu wataalam wa mambo tusaidieni kudadavua hii,

AU NI.

deja Vu?
 
Miaka ya sitini katikati kulikuwa na mzee mmoja anauza genge pahala,

alikuwa ni maarufu sana,

Hivi majuzi nimekutana nae na cha jabu alikuwa amevaa shati lile lile maarufu,,,,nikadhani labda ninaota...nikamuita fulani?? akaitika naam....nikamuuliza siku hizi upo wapi,,,,,akanijuza yu sehemu inaitwa NOMBO,,,,,,,Wakati natafakari Nombo ni wapi,,,,akawa kama anazungumza na mtu mwingine na wakati huo huo kuna meseji ilikuwa inaingia simuni mwangu.,,baada ya kumaliza kusoma ile meseji sikumuona tena yule mzee,,,

Hebu wataalam wa mambo tusaidieni kudadavua hii,,,,,

AU NI.....

deja Vu?????
Wahi hospitali
 
Bangi sio mbaya kwa watu wote sema inakatazwa sababu kuna watu vichwa vyoo vina nafasi ndogo ya kuhifadhia vitu.

Kichwa kina GB 2 wewe unadownload faili la GB 3 hapo lazima kianze kustakistaki 😊
 
Miaka ya sitini katikati kulikuwa na mzee mmoja anauza genge pahala,

alikuwa ni maarufu sana,

Hivi majuzi nimekutana nae na cha jabu alikuwa amevaa shati lile lile maarufu, nikadhani labda ninaota...nikamuita fulani?? akaitika naam....nikamuuliza siku hizi upo wapi, akanijuza yu sehemu inaitwa NOMBO, Wakati natafakari Nombo ni wapi, akawa kama anazungumza na mtu mwingine na wakati huo huo kuna meseji ilikuwa inaingia simuni mwangu, baada ya kumaliza kusoma ile meseji sikumuona tena yule mzee,

Hebu wataalam wa mambo tusaidieni kudadavua hii,

AU NI.....

deja Vu?????
de javu hiyo.
 
Back
Top Bottom