let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 4,179
- 9,750
- Thread starter
- #61
Sawa.Mpaka anauza maana yake ina mlipa.
Sawa.Mpaka anauza maana yake ina mlipa.
😳😳.Lakini huyo yuko South Africa. By tge way, bora ya huyo kuliko mtu anayekaa kijiweni, kibaka, na kulalamika tu all the time.
Tambua manati ni Siraha ambayo ikitumika vibaya inauwezo wa kuua na ukishitakiwa kwa kosa la kutumia manati ktk shambulizi adhabu yake itakuwa sawa na siraha zingine
Soko lake kwa mjini hutumika sana na walizi especially wa usiku na wachache kutumia nyumbani kama siraha au shambani kwajili ya kuhamia ndege, Ngedele nk lkn pia hii siraha inawatumiaji wachache wenye experience hasa legend kama sisi hawa wa mjini sio rahisi
😂😂Kweli Kabisa manati kuua mtu labda uwe umeridhia kufa mwenyewe. 😂Hakuna manati ya kuua mtu. Nyie watu wa dasilamu mmezidi kuwa midebwedo.
Wewe Fata maisha yako hata akiuza nyeti zake wewe hayakuhusuLeo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.
Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.
Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.
View attachment 2221716
Bora huyo huku kuna mzee anatembezaga vitanzi vya kujinyongeaKama zinauzwa basi zina wateja wake, Ila inafikirisha sana kukuta zinauzwa mjini.
Mimi lazima ningenunuaLeo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.
Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.
Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.
View attachment 2221716
Watu wenye restaurant, maduka ya nyama na Samaki, caterers etc etc wanatundika manati sehemu mbalimbali ya maeneo ya bihashara zao kufukuza kunguru. Nimeona ikifanya kazi vizuri tu. Wengine wanafanya urembo tu
Zins wateja wengi mimi mwenyewe ni mteja wa manati, bar na mabucha wananunua sana kwa ajili ya kufukuza kunguruSi kila kinacho uzwa kinawateja chief moja wapo ni iki anachokiuza huyu jamaa.
Mbaya zaidi kinauzwa town[emoji23]
Umeisikia hiyo! Ndio tukue pilipili ni kiungo mojawapo ndani ya chaiYaan ukanunua manati US ukaja nazo tanga?[emoji4]
Wanajidanganya hao tunaogopa manati ukiishika tu tofauti na hapo tunawachoraLabda hapo kwenye kunguru, kama ni kweli…. ngoja tumuulize Kunguru wa Manzese tujiridhishe.
Mwenye kilabu Cha gongo hawezi kuita polisiAjabu kwangu si upande wa silaha. Chochote kile ni silaha hata Mavi yanaweza kuwa silaha dhidi ya adui ila hayauzwi.
Back then jamaa akazingua kwenye klabu flan cha Gongo klabu kikaacha kukalika na wateja kadhaa wakakimbia bila kulipa. Mwenye klabu akaita polisi jamaa alivyoona polisi akaenda choo jiran na kujipaka Mavi mwili mzima polisi wakamuacha. Sijui ikiwa walimtafuta kwa muda mwingine akiwa kaoga na kubadili pamba zingine, sijui.
ajabu yangu Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kuuza manati? 🙁