let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 4,179
- 9,750
- Thread starter
- #21
Sawa. Jaribu kuvaa uhuska wauzaji wa manati.Sasa rafiki kama hana wateja atauzaje hizo manati?Labda useme anatembeza.Ila ukweli mimi niliwahi kukuta mtu ananunua Tshs 1,000/=.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kuna nyakati mambo usimama. Wewe kama wewe unaweza acha mkeo na watoto nyumbani ukaenda uuza manati kitaa?