Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,628
- 15,742
Mnawanyima ajira kwa kigezo cha uzoefu halafu wakijiajiri tena inakuwa nongwa...hivi mnatamani graduate wawe ombaomba ndio nafsi zenu zisuuzike nyinyi waja laana?
Hata hajaniambia. Tufanye hajaoa.Kwani muuzaji kakwambia ameoa?
Graduates hii nchi haijawai ha salama aisee.😂Mnawanyima ajira kwa kigezo cha uzoefu halafu wakijiajiri tena inakuwa nongwa...hivi mnatamani graduate wawe ombaomba ndio nafsi zenu zisuuzike nyinyi waja laana?
Kondomu zinauzika sana.. Matumizi yake ni yake pale pale hata kama Lita moja itauzwa elfu 40.Mleta mada unashangaa muuza manati.
Mbona kuna wauza Kondomu wanatembeza mtaani.
Kila kitu kina uhitaji na matumizi yake.
Huyu Broo kakosea nn!??
Hii ni bariadi? Really
Duuhnyuchi hazina shukrani,asubuhi tu nimepiga tako kadhaa cha asubuhi
Ninayo pia nyumbani kama urembo japo kuna muda nikijisikia kufanya upuuzi nakaa nayo nje napiga kunguru.😂😂Wengi huzinunua kama urembo, hata mimi ninayo
Mpaka anauza maana yake ina mlipa.Hata hajaniambia. Tufanye hajaoa.
Unaweza acha rum yako na kwenda uza manati na jion unarudi kupiga hesabu?.
Nahitaji sana manati.Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.
Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.
Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.
View attachment 2221716
Shida yote ya nini?Hizi Zinafaa sana kama unaenda fumania unakaa kwa mbali unampa njemba kituuu njemba mbio unaenda jibebea dem wako getoooo
Pengune labda nikujuze kidogo,kuna watu wanafanya hizo biashara lakini hawazitegemei sana luendesha maisha yao,kuna wengine wanamashamba kwenye maeneo tofauti ambayo yapo karibu na Dar,unakuta biashara kama hiyo ya manati ni kipato cha ziada tu.Ooh. Sawa. Lakin we unaweza muacha mkeo/mmeo nyumbani na kuuza manati mtaani?. J
Kazi ya manati haijanizuvuruga ila muuzaji manati ndiyo shida yangu mimi.
Hii dhana ya ujasiliamali tumeipokea vibaya aisee.
😂😂 Vitabu tuna nunua ila shida ni kuvisoma. Nina vitabu shazi Ngwea kwangu ila sikummbuki mara ya mwisho kuvigusa achilia mbali kuvisomaNahitaji sana manati.
Ni ukweli ulio wazi tunakosa ubunifu.
Utakuta mwanaume mwenye afya njema anatembeza vitabu...Jesus Tanzania hii wangapi watanunua?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app