Zinanunuliwa sana mjini! Kufukuzia kunguru wakitaka kuopoa nyama!Kama zinauzwa basi zina wateja wake, Ila inafikirisha sana kukuta zinauzwa mjini.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa kweli mwache awasaidie wale ndugu zetu wa "DASALAMU" wanaokimbizwa na panya road...Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.
Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.
Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.
View attachment 2221716
Kwa hiyo ndio ukaamua kunipiga picha bila ridhaa yangu😡😡.Leo katika trip zangu za kila siku nimekutana na mtu anauza manati kwa kutembeza.
Ndiyo,kazi ni kazi shida ni yangu ni kwamba kwa nyakati hizi kuna wanunuzi wa hivi vifaa kweli?. Hata uko ancestors times hazikuwai uzwa ilikuwa ni kutengeneza wewe mwenyewe.
Ninaona kabisa omba omba ana uhakika wa kumeki chochote kwa siku kuliko huyu jamaa.
Unaachaje mkeo na watoto nyumbani unaenda kutembeza manati kitaa?.
Nje ya mada. Kilimo cha tikiti na ufugaji wa kwalevinalipa.
View attachment 2221716
😂😂😂 Tafuta kazi nyingine, chief.hii inatia ukakasi sana. 😁Kwa hiyo ndio ukaamua kunipiga picha bila ridhaa yangu😡😡.
Wewe unajuaje kama anategemea hiyo hiyo biashara pekee?
Je ulimuhoji akakupa hesabu anayoingiza kwa siku kwa kuuza hizo manati?
Unashangaa ndizi kisukari mbivu na chai ? Hiyo kitafunwa murua kabisami tangu nimkute mwamba fulani anakunywa chai asubuhi na mapema kwa ndizi (kisukari....zile za kulia wali) mbivu basi nimeamua kutoshangaa lolote kwa sasa!
Nilikuwa sijapata kuona wala kusikia, hakika nilishangaa kweli!Unashangaa ndizi kisukari mbivu na chai ? Hiyo kitafunwa murua kabisa
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
hilo swala mkuu umelishikia bango tangu mwaka jana.😂Baada ya kumpiga mzee watu mtama bar maksudi sa hivi una miliki manati nyumbani
Hii ni hatari
Daah nikifikiria huwa nacheka sana [emoji1787] sijui uliwaza ninihilo swala mkuu umelishikia bango tangu mwaka jana.[emoji23]