piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 613
Hahahahaha, umenichekesha balaaa mkuuNgoja pombe zikuishe utakuja kugundua kumbe hata moshi hukuenda upo kwenu makabe kwenye baa ya kaka yako masawe na umelala hapohapo na watu washakula kiboga
Hahahahaha, umenichekesha balaaa mkuuNgoja pombe zikuishe utakuja kugundua kumbe hata moshi hukuenda upo kwenu makabe kwenye baa ya kaka yako masawe na umelala hapohapo na watu washakula kiboga
Mkuu ulitumia kinywaji gani? Maana Kilimanjaro kuna aina nyingi sana za pombe hatari. Anyway usihofu watakua malaika walinziNipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii ya 3.
Teh teh you made my day kwi kwi kwiNgoja pombe zikuishe utakuja kugundua kumbe hata moshi hukuenda upo kwenu makabe kwenye baa ya kaka yako masawe na umelala hapohapo na watu washakula kiboga
Bila shaka FaizaFoxy ana majibu ya kukuliwaza maana viumbe wa namna hiyo ni ndugu zake.
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3.
hapana mkuu,
Mapacha baba tofauti mama tofautimdau umefanana na Mimi?
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3.
Mkuu punguza woga alafu tuliza kihoro hicho
nipo mkoa wa kilimanjaro kikazi, idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye meza,mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka sana na kazi kwa siku ya leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa mimi ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa ni ya siku 9 na hii ni ya 3.
HUYU NI MZINZI tu na alikuwa kesha lewa wamemnywea malaya sasa wakati wanamsindikiza wakagundua hana kitu maana alitoa wallet ili abadilishe line ya simu aweke ya piga bure.. du kuona hivyo wakala kona
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3.