Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
hahahaaa nipe tano mdau
tehe tehe tehe tehe chukua kumi kabisa
hahahaaa nipe tano mdau
Kama huyuView attachment 174439
Ulikuwa maeneo gani Alberto,laliga,malindiau wapi?
"Ngiyabonga" @King'asti
Nakuaminia mshanajnrDah bonge la adventure mimi ningeshangilia mno na kwa jinsi ninavyojifahamu wangegeuka paka hapo hapo hapo kabla hawajaanza mazingaombwe yao
Usimdanganye... Mungu hapendi wadhambi bali kwa kutubu toba ya dhati ya moyo wake kwanza ndipo ulinzi wa Mungu wetu uwe juu yake.Pole mkuu. Usiogope! Neno usiogope lipo kwenye biblia mara 365. Kwa hiyo kila siku Mungu anakwambia usiogope[kama wewe ni muumini lakini].
Ukute alitaka kwenda kupiga threesomeHalafu Et Linawatoto Na Mke,usikute Watoto Hawana Dafutari Unifom Zimechanika Halaf Lenyewe Lipo Baa Linawanunulia Vidosho Pombe
kivipi yaniDah bonge la adventure mimi ningeshangilia mno na kwa jinsi ninavyojifahamu wangegeuka paka hapo hapo hapo kabla hawajaanza mazingaombwe yao
Michezo ya kishirikina tukivipi yani
Hapana mimi sio mshirikina, kwani askari magereza akipanda karandinga la wafungwa naye ni mfungwa?ina maana ww ni mshirikina?
Punguza mtungi mkuu..Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3.