Najaribu kufikiria tukio lako lingetokea Zanzibar,Tanga hata Dar wengi wangekubali swala la majini lakini kwakuwa limetokea kule kiraracha basi kubali kuwa ulikuwa chicha baya....
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikuwa mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu.
Muda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakuwa nilikuwa nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika.
Kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakuwa Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti niliokuwa nao.
Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3.
Hehehe, hiyo hiyo. Saa ingine zinaitwa punana.
hujambo mwakalifti, nimekumisijeeee
Ngoja pombe zikuishe utakuja kugundua kumbe hata moshi hukuenda upo kwenu makabe kwenye baa ya kaka yako masawe na umelala hapohapo na watu washakula kiboga
Kwanza Unaonekana We Ni Malaya Sana, Unawezaje Kuwanunulia Bia Wasichana Tena Umeonana Nao Muda Huo Huo Tena Bila Kuombwa? Pili Unawezaje Kukubali Wakusindikize Hadi Unapolala Kama Hukuwa Na Mpango Wa Kuondoka Na Mmoja Wao? Tatu, Je Kama Wangekuwa Ni Chabo Ya Majambazi Wamewatumia Wasichana Hao Ili Wakupeleleze Kisha Wanaume Waje Hadi Chumba Cha Hoteli Uliyofikia Ungesema Wamejuaje Chumba Chako? Kumbe Wakati Mwingine Kuibiwa Huwa Mnajitakia.Na Laiti Ungekuwa Mfanyakazi Wangu Leo Ulikuwa Huna Kazi Kwa Kuhatarisha Nyaraka Na Pesa Za Ofisi.
this is not an "individualist country" sio mbaya kufahamiana.😛eep:😛eep:
it is very sad kwamba, it is my character that has been attacked rather than addressing the issue itself, it happened and that is all I can say
Ngoja pombe zikuishe utakuja kugundua kumbe hata moshi hukuenda upo kwenu makabe kwenye baa ya kaka yako masawe na umelala hapohapo na watu washakula kiboga
Papuna?? Una maanisha namba za simu🙊
umemaliza hamna cha kuongeza
umemaliza hamna cha kuongeza
Ina maana nayo yalifunga ndo yamefungulia au?