Nimekutana na mauzauza Moshi

Nimekutana na mauzauza Moshi

Umethibitisha vipi ni majini,inawezekana wamekatiza kwenye kona usiyoijua, au kwenye kichochoro flani

Hawa ni malaya ambayo Wengine wa hutoka mikoa jirani au nchi jirani wanakugidia wee na kukulia halafu nwishowe wanakuacha kwa style yoyote ile ikiwemo hiyo ya kuvuka barabara .wako kikazi zaidi na kwao usiku ndo mchana hawawezi kwenda kulala muda huo
Walichokifanya ni kumlia jamaa na kusepa viwanja vingine
 
Hehehe, hiyo hiyo. Saa ingine zinaitwa punana.

hujambo mwakalifti, nimekumisijeeee

Duh hii misamiati bwana inaongezeka daily, need to update my swahili dictionary..kuna msemo mmoja unaitwa 'sheedah' bado sijaunyaka freshi.

Mie nipo tu ndugu yangu, shida tupu mpk kichwani
 
Yani unapay someone else bill tena kaja mwenyewe bila kuitwa huo ni ufuska .... kama uliniambia tutoke out afu asilipe hapo sawa
Mama ukarimu wenyewe ndo huo! Ulitaka awafukuze? Utagidaje kilaji huku umetumbuliwa macho na wadada ambao hawana kilaji kwenye meza? Tukiwakirimia mwatuona mafuska, tukiwanyima wanaume Wa siku hizi bahiri, acheni hizo!
 
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikua mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu, mda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakua nilikua nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika, kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakua Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti nilio kua nao, Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3,
Hakuna kitu kama hicho, laga zako tu zimekuendesha puta.
 
Hawa ni malaya ambayo Wengine wa hutoka mikoa jirani au nchi jirani wanakugidia wee na kukulia halafu nwishowe wanakuacha kwa style yoyote ile ikiwemo hiyo ya kuvuka barabara .wako kikazi zaidi na kwao usiku ndo mchana hawawezi kwenda kulala muda huo
Walichokifanya ni kumlia jamaa na kusepa viwanja vingine
Ni kweli mkuu, mtoa mada hajui kuwa kaliwa, na kama alilewa acheki vizuri pochi kama iko salama!
 
Nipo mkoa wa Kilimanjaro kikazi, Idi imenikuta huku, nikasema nipate moja baridi bar ya jirani na hoteli nilipofika, nilikua mwenyewe kwenye Meza,Mara wakaja warembo wawili kukaa kwenye Meza yangu, mda ulivyozidi kwenda tukazidi zoeana, kama mtanashati nikawaagizia vinywaji, kwakua nilikua nimechoka Sana na kazi kwa siku ya Leo basi ilipofika saa nne nikawaaga kuwa nakwenda kupumzika, kuona hivyo wakaniambia kwamba kwakua Mimi Ni mgeni basi watanisindikiza mpaka nilipofika ili wanilinde, wakuu tulipofika barabara kuu nageuka sioni wale mabinti nilio kua nao, Nimeingia woga mpaka muda huu, ukizingatia kazi iliyonileta hapa Ni ya Siku 9 na hii Ni ya 3,
njoo nikuombee
 
Na kitimoto zote hizo Uchagani majini yanaishije?
 
Ulevi noma! walinzi umeona kama vichenchede?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwanza Unaonekana We Ni Malaya Sana, Unawezaje Kuwanunulia Bia Wasichana Tena Umeonana Nao Muda Huo Huo Tena Bila Kuombwa? Pili Unawezaje Kukubali Wakusindikize Hadi Unapolala Kama Hukuwa Na Mpango Wa Kuondoka Na Mmoja Wao? Tatu, Je Kama Wangekuwa Ni Chabo Ya Majambazi Wamewatumia Wasichana Hao Ili Wakupeleleze Kisha Wanaume Waje Hadi Chumba Cha Hoteli Uliyofikia Ungesema Wamejuaje Chumba Chako? Kumbe Wakati Mwingine Kuibiwa Huwa Mnajitakia.Na Laiti Ungekuwa Mfanyakazi Wangu Leo Ulikuwa Huna Kazi Kwa Kuhatarisha Nyaraka Na Pesa Za Ofisi.

Kweli jamaa hayuko makini na uhai wake pamoja na Mali sake, ni vema angeuficha huu uzembe kwa kukaa kimya.
 
Hivi kuna sehemu amesema anawataka? Msipokarinishwa mnasema wanaume wengine wachoyo,mkipewa 'wanaumw wengine fuska'

Mambo mengine unatakiwa kujiongeza mkuu sio lazma akueleze ujinga woote alioufanya.ukijiongeza tu utajua kwamba kwanini alikubali wampeleke hadi alikofikia.
 
Mambo mengine unatakiwa kujiongeza mkuu sio lazma akueleze ujinga woote alioufanya.ukijiongeza tu utajua kwamba kwanini alikubali wampeleke hadi alikofikia.

Sawa sawa kumbe huenda ameficha segment ingine
 
Hapo hamna jini, pombe tu ndio zilikuzingua.
 
Pole. Umechanganyikiwa mpaka umesahau matumizi ya herufi kubwa kwenye uandishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom