Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,403
- 85,650
Tusubiri ufe tuone!Hapana dear shida yako unanipika chungu kimoja bila kuchambuaa nipo tayari kufia vitani
Tusubiri ufe tuone!Hapana dear shida yako unanipika chungu kimoja bila kuchambuaa nipo tayari kufia vitani
Mmmh I once heard kuna watu wa namna hiyoo, ila you guys miss so much.š„ Na inakuwaga wa kishua shua sana watu wa namna hii! You're one of them?Hapana, si kweli au labda kwa baadhi ya watu haiko hivyo. Mimi kama hujaturn on my brain, you can not turn on my body. Naanza kuomuona mtu attractive pale character yake inapoanza kunivutia na siyo mwonekano.
Sijawahi kuwa na crush za watu maarufu, sijawahi kuangalia Tv au hata watu huko uraiani nikasema huyu mwanaume ni mzuri ananivutia, haijawahi kunitokea.
Tupo, mimi naona hakuna cha kumiss, as a matter of fact, I always wonder yani unawezaje kumpenda mtu sababu tu umemuona na hujui chochote juu yake? what if they look good halafu kichwani patupu š©Mmmh I once heard kuna watu wa namna hiyoo, ila you guys miss so much.š„
Hapana mimi Mwajuma wa mbagala rangi tatu, ukishua wa wapi tena 𤣠š¤Na inakuwaga wa kishua shua sana watu wa namna hii! You're one of them?
Good for you, mimi sijawahi, kuna friends walikua wanasema namna wanamuona Idris Elba ni hot na ikitokea leo wamekutana wako tayari for anything, mimi nikimuangalia I'm like, he is okay but I don't know him š¤·āāļøMimi toka nizaliwe nimekuwa na macrush wengi sana, hasa kwenye romcoms na celebrities mbalimbali. I'm addicted.
Rafiki mzuri, awe anakupopoa hivyo hivyotuache na urafiki wetuz twajuana na jamaa yangu wenyewe hapaaa š š š š
Duuuh š¤¢Na anataka kunioa! Hivi kweli???
Mwingine kafungua uzi anataka kufundishwa jinsi ya kujitawazaš¤¦š½āāļø
šš ananipa madini, twaenda angalia movie na 2000 ..Rafiki mzuri, awe anakupopoa hivyo hivyo
Nikimuona huyu namuona min -meDuuuh š¤¢
View attachment 3610780
Una hekaheka ššš ananipa madini, twaenda angalia movie na 2000 .. View attachment 3610782
Twende nayo tu hivyo hivyo sisi si wa kwanza wala wa mwisho hapa duniani, hatuwezi kubadilisha chochote.Ni jambo la kutafakarisha, at the end of the day, ukifikiri sana utagundua "it's all for nothing" ila ili uwe na amani, inabidi usifikiri sana!
Wooiwakwahš¤£š¤£Si ungekubali tu? Huwezi jua labda anataka akuagizie limoja kutoka Nsumbiji uhangaike nalo!?
šš kama jogoo aina ya kuchiUna hekaheka š
kwa kusema uwongo.. š«Ŗš«ŖKwa kukuambia ukweli š¤
View attachment 3610785
Hadi mimiSijawahi kuona series kali tokea nianze kuangalia azam two kuzidi hii
Nazingatia vigezoKwahiyo nyege zikikaa mahala pake hata mwonekano hujali au vigezo lazima vizingatiwe?
Nah, kwa hiyo unataka kunkambia hauna visual excitement? Yaani nikiona my type, huwa nakuwa stimulated on the go. Even if they are dumb, unamkula ana kuwa side chick. Sasa wewe mwenzangu! Kwanza it takes so much time, na kwa sisi wanaume kama una hiyo, unaweza kufa na depressionTupo, mimi naona hakuna cha kumiss, as a matter of fact, I always wonder yani unawezaje kumpenda mtu sababu tu umemuona na hujui chochote juu yake? what if they look good halafu kichwani patupu š©
Kwendraa, I can smell you're that sugar mmy living her dreams, that jigijigi becomes a pleasureš¤£Hapana mimi Mwajuma wa mbagala rangi tatu, ukishua wa wapi tena 𤣠š¤
Basi, you're that kinda girl uliye watesa saana boy walio crushe kwako. Mimi celebrity crush hata awe na skendo kias gani akija namkula na siwazii, ili radii ile burning desire iwe fulfilledGood for you, mimi sijawahi, kuna friends walikua wanasema namna wanamuona Idris Elba ni hot na ikitokea leo wamekutana wako tayari for anything, mimi nikimuangalia I'm like, he is fine but I don't know him