Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #201
Mvaa jeje ndiyo kitu gani?Mambo ni mengi saivi kwanza vitoto vyenyewe ni pasua kichwa ukijifanya kuvielekeza vitakuona mvaa jeje tu
Mvaa jeje ndiyo kitu gani?Mambo ni mengi saivi kwanza vitoto vyenyewe ni pasua kichwa ukijifanya kuvielekeza vitakuona mvaa jeje tu
Mtu mpaka anamwaga ung'eng'e wa kwenda, kweli kachizika 🤣Wana vichaa vya mapenzi tu, sihusiki kwa namna yoyote ile😅
Safi, tengenezeni familia sasa!Tupo tumabanana km ndizi au samaki na maji
Kitambooo Sanaa
Mwanaume hahitaji connection kumtamani mwanamke, tusiwe tunasahau kwamba binadamu ni wanyama tu kama wengine, na kinachomtrigger mwanaume ni "EXPOSURE" tu hamna kingine, mwanamke kuwepo tu around mwanaume anatest tu, na kupima kinalika? Response ya mwanamke ndio itaamua iwe leo au siku ingine, hamna mwanamke mgumu kwa mwanaume as long as kuna exposure, wataanza kwa kutazamana, then mazungumzo ya kawaida then exposure inavyozidi stori zinabadilika taratibu
Twende nayo tu hivyo hivyo sisi si wa kwanza wala wa mwisho hapa duniani, hatuwezi kubadilisha chochote.
Tusiache kufurahi maana maisha ujumla wake ni furaha.
Hii ni kwa maisha ya kawaida au hata mahusiano? mfano na mke au mume wa ndoa?Usiipoke furaha ya mwenzako kwa ubinafsi wako, eti kisa unampenda unataka awe wako peke yako wakati nae anaitafuta furaha yake.
Nakubaliana na hili kwa asilimia 💯 hasa kwa watoto, nao wanastahili kufanya yale yanayowafurahisha na wanayoyapenda, si kila kitu ni kwa ajili yetu kama wazazi.Tuache ama kupunguza kujipendelea na kujipa umuhimu katika maisha ya mtu, hata kama ni mtoto wako wa kumzaa, bado anabaki kuwa mwanadamu.
Lakini mkuu sijawahi kufanya hivi utanisingizia bure!Kuna kitu kwenye human attraction kina itwa absence wewe Seran umeimasta vizuri saana hii. So unakuta kijana wa watu huko ume mhype, katengeneza mental picture kuku husu, alaf mwishoni unaanza kuplay hard to get.. Hapo lazima awehuke tuu😁
Ni jasho!Mtu mpaka anamwaga ung'eng'e wa kwenda, kweli kachizika 🤣
Ni subconscious hiyo na inafanyika bila yeyote kujua both mfanyaji na victim wakeLakini mkuu sijawahi kufanya hivi utanisingizia bure!
Hmm unipe mfano basi niweze kujua, sijawahi kuwaza hii!Ni subconscious hiyo na inafanyika bila yeyote kujua both mfanyaji na victim wake
💯 Ila naweza kusema initial exposure trigger huwa ndo ina amua the rest of the other trigeers. Kuna demu ukimwona for the first time na asiwe type yako na usiwe na malengo ya kumkula na hisia zikawa dormant alaf kuna wengine sio type yako ila ukipewa tu unailomba, so first impression ndo kila kituMwanaume hahitaji connection kumtamani mwanamke, tusiwe tunasahau kwamba binadamu ni wanyama tu kama wengine, na kinachomtrigger mwanaume ni "EXPOSURE" tu hamna kingine, mwanamke kuwepo tu around mwanaume anatest tu, na kupima kinalika? Response ya mwanamke ndio itaamua iwe leo au siku ingine, hamna mwanamke mgumu kwa mwanaume as long as kuna exposure, wataanza kwa kutazamana, then mazungumzo ya kawaida then exposure inavyozidi stori zinabadilika taratibu
Mwanaume anapomuona mwanamke muda wote akili yake ishaamvua nguo na kuunda picha na kufikiria anakitaka hiki kitu au la, na hata akiamua hakitaki kikawa na exposure naye atajaribu tu mwanamke akiachia tu ataliwa hata kama mwanaume huyohuyo aliona awali hakina kiwango anachotaka, so triggers za kumuamsha mwanaume ni kila kitu kilichopo kwa mwili wa mmama!
Kuna watu wanajutia wenzi wao kwa sbb hzhz alitest kikawaka akasahau wote wa nyuma hata aliokua na malengo nao!
Sasa mfano si hawa watu wa Lia Lia kila siku?Hmm unipe mfano basi niweze kujua, sijawahi kuwaza hii!
💯 Ila naweza kusema initial exposure trigger huwa ndo ina amua the rest of the other trigeers. Kuna demu ukimwona for the first time na asiwe type yako na usiwe na malengo ya kumkula na hisia zikawa dormant alaf kuna wengine sio type yako ila ukipewa tu unailomba, so first impression ndo kila kitu
Napenda vitu visually sana, art, nature, aesthetically pleasing stuff etc.It's like kuwa na pet? Au tuseme hauna kupenda kitu visually like art, nature... Ila sio platonic inakuwa sexual desire, na kwa wewe ambae mpk mtu aanze kuku fantasize mentally Kweli shughuli ipoo
Fanya hivyo, baamedi siyo poa hasa kama tayari una familia.Kabisa ngoja nifute no zake kanaonekana jau mno
Hao hapana aisee!Sasa mfano si hawa watu wa Lia Lia kila siku?
Labda aku suprise mkiwa tendoni si unajua tena sisi wanaume😄, na mwanamke akkijua weakness yako tuu, umeishaYes 1st impression ni kwa yule wa "type" yako ukiwa na exposure hata na usiyemtaka utajikuta mnazoeana then jicho linakuwa kengeza unatest mambo, akikubali tu kosa unaweza kula hata ofisini, kwenye gari, chooni, na kwingeneko pasipo rasmi, halafu wanaume huwa tunajifanya ni one time show, ila itakuwa inaendelea tu utafanya kwa siri tu ili isionekane unakula mtu sio wa "type" yako! Mnakuwa mnapigiana simu tu au text mkutane chocho then kila "ntu" na njia yake baada ya hapo😛😛
HIvi unajua hata text tuu ni a form of seduction hatari saana? Yaani mtu katuma sms,Hao hapana aisee!