Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Ndiyo wewe 🤣
Flirty GIF by ALLBLK.gif

Haya jibu maswali yangu sasa!
 
  1. Nini huwa kinakufanya umtamani mwanamke au mwanaume kimapenzi au kimwili ?

  2. Nimeona mijadala mingi humu kuhusu kukosa uaminifu kwenye mahusiano huku watu wakisema “huwezi kula chakula kile kile kila siku” hivi inakuwaje mtu unatamani chakula ambacho hujui ladha yake? kiini cha matamanio yako hapo kinakua ni nini?

    View attachment 3610533

  3. Wenzangu tunaovutiwa na uwezo wa mtu kiakili au kuwa na connection ya kihisia kwanza (sapiosexual / demisexual) na si kimuonekano, nini ambacho mpenzi au mwenza wako alisema au alifanya kikavutia ukataka kuwa naye?

    Alamsiki!
Aaaaa... Mbona umetuambia "alamsiki"?Ina maana haurudi tena umetususia uzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom