Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Yaani tu awe mwanamke attractive ajazilie mnyama kinamna flani, awe na macho flani hivii, awe ana sauti ya kudeeka yaani it's too much haziishi
Wewe pokea atakayekuja, mbona masharti mengi hivi?
Fanya Kweli lasivyo utakuwa muhanga ww mwenyewe😅
Hapa unajaribu kunichimba mkwara au what are you trying to do 🤔?
 
Wewe pokea atakayekuja, mbona masharti mengi hivi?
1003445745.jpg

Bring her on mmy

Hapa unajaribu kunichimba mkwara au what are you trying to do 🤔?
Yaani uniahidi kuwa utanitaftia someone then uniache mataa, not joking
3349a1b5-561a-48dd-bbaf-4a17d8ad9aad.jpeg
 
Hata siwezi kueleza nikaeleweka.
kuna mmoja nilimmiliki kwa miezi michache tukawa kama mapacha kwenye masuala ya matamanio yetu.... Tuliyafanya mapenzi kama chakula ikafika kipindi wote tukiamka asubuh miguu inalia kama bawaba kisa uroto umepungua

Kama sio Mungu kututenganisha tungefia kitandani mbwa sisi🤣🤣
Nyie mlizidi uzinifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom