Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #181
Nilikuwa zangu mwenge nikasema ngoja niende kimara kutembea roho ikaniambia umetembea baa nyingi mbezi unaonaje ukapita baa hii ambayo ipo hapa kona nikasema enewei ngoja niingie hapa ile naingia dah nikakutana na kitoto cheupee nikamuita huyu hapa mezani mama umekula sijala aaaah agiza kuku choma bili nalipa mimi kitoto nikakatia laki moja nikachukua no za simu afu kitoto sio kibongo kinaonekana kinatoka yale maeneo anayotoka mama abel dah hizi bahati 😁😃😃 enewei sijui nioe mke wa pili😁😃Hebu malizia story bwana, sasa kuishia njiani hivyo ndiyo nini?
View attachment 3610568
Hapo ntazimia kwa utamu.Hadi kutetemeka ndugu yangu, akikukalia je inakuwaje?
View attachment 3610752
Sina, najaribu kufikiria kama kuna kitu cha muonekano nikiona kwa mwanaume navutiwa, but natoka tupu, hakuna.Nah, kwa hiyo unataka kunkambia hauna visual excitement? Yaani nikiona my type, huwa nakuwa stimulated on the go
Haiwezekani, nishawahi kwenda naye kwenye date kadhaa na kijana akawa anaongelea sneakers / viatu mwanzo mwisho. Kila nikibadili topic tujaribu politics, technology, science, uchumi - inashindikana, anarudi tu kwenye Air jordans sijui za mwaka gani.Even if they are dumb, unamkula ana kuwa side chick.
Kwani tuna haraka ya kwenda wapi 🤣 🤣 ?Sasa wewe mwenzangu! Kwanza it takes so much time, na kwa sisi wanaume kama una hiyo, unaweza kufa na depression.
Sugar mammy tena, siwezi kuhudumia an adult, hiyo nayo ni turn off kwangu 🤣🤣 tunaweza kusaidiana kwenye shida ila kama mwanaume ni tegemezi, basi sexual appeal kwangu haiwezi kuwepo 🤣Kwendraa, I can smell you're that sugar mmy living her dreams, that jigijigi becomes a pleasure🤣
Kwenye hili hakuna namna ambayo nitajibu itakubalika mbele ya kadamnasi so nita🤐🤐🤐Basi, you're that kinda girl uliye watesa saana boy walio crushe kwako.
Mimi celebrity crush hata awe na skendo kias gani akija namkula na siwazii, ili radii ile burning desire iwe fulfilled
Nilijua tu lazima kuna jambo linakuja 🤣🤣Tatizo ni ka baamedi hapo ndio naoja jau Cc Binti wa zamani
Basi ikawe kheri kati yenu. Mapenzi ni kitu kizuri sana!Miye namuelewa sana aisee basi nikimuona walah hali yani taabani miye juu yake, na ana vile vigezo vyangu vyoote.
Wewe mtu wa pili nimeona anasema anapenda wanawake waliomzidi umri.Binafsi huvutiwa sana na wanawake walionizidi umri 7-10 yrs siyo mbaya ila siyo vyuma chakavu kiukweli kuna jinsi hata tukiwa kwa bedi ninapata msisimko wa ajabu mno naweza piga raundi 4 hadi 5 kwa usiku huo.
Labda wanajua sababu wana experience, sasa hao vijana wenzenu msipopata nao experience, mkajifunza pamoja, nani atawafundisha nao wajue mapenzi?Maana wanajua mapenzi sana tofauti na hivi viomba chipsi havijui kitu
VIpi niruke nae au nipige chini ila kala laki na 40 languNilijua tu lazima kuna jambo linakuja 🤣🤣
Mambo ni mengi saivi kwanza vitoto vyenyewe ni pasua kichwa ukijifanya kuvielekeza vitakuona mvaa jeje tuWewe mtu wa pili nimeona anasema anapenda wanawake waliomzidi umri.
Labda wanajua sababu wana experience, sasa hao vijana wenzenu msipopata nao experience, mkajifunza pamoja, nani atawafundisha nao wajue mapenzi?
Mmmmh it's not worth it kujitafutia matatizo na mama Abel, achana naye!VIpi niruke nae au nipige chini ila kala laki na 40 langu
Kabisa ngoja nifute no zake kanaonekana jau mnoMmmmh it's not worth it kujitafutia matatizo na mama Abel, achana naye!
It's like kuwa na pet? Au tuseme hauna kupenda kitu visually like art, nature... Ila sio platonic inakuwa sexual desire, na kwa wewe ambae mpk mtu aanze kuku fantasize mentally Kweli shughuli ipooSina, najaribu kufikiria kama kuna kitu cha muonekano nikiona kwa mwanaume navutiwa, but natoka tupu, hakuna.
Tupo tumabanana km ndizi au samaki na majiBasi ikawe kheri kati yenu. Mapenzi ni kitu kizuri sana!
Tuanzie hapo, nani aliye mtafuta mwenzie?Haiwezekani, nishawahi kwenda naye kwenye date kadhaa na kijana akawa anaongelea sneakers / viatu mwanzo mwisho. Kila nikibadili topic tujaribu politics, technology, science, uchumi - inashindikana, anarudi tu kwenye Air jordans sijui za mwaka gani.
Siku ya kwanza nilifikiri ni nervousness, ila date ya pili ilivyoendelea kuongelea viatu, hiyo turn off niliyokuwa nayo hakuna kitu ambacho kingeweza kunifanya nitake kuliwa nawe au niingiwe na matamanio yoyote ya kimwili.
Kwani ukiwa turned on... Inakuaje? Sisi wa primary attraction mwili una kuwa activated, goosebumps, na burning desire kwa harakaaKwani tuna haraka ya kwenda wapi 🤣 🤣 ?
😂😂 A good defence there, Umepangua kama Kipa wa cape VerdeSugar mammy tena, siwezi kuhudumia an adult, hiyo nayo ni turn off kwangu 🤣🤣 tunaweza kusaidiana kwenye shida ila kama mwanaume ni tegemezi, basi sexual appeal kwangu haiwezi kuwepo 🤣
So nimepiga kwenye mshooni😑Kwenye hili hakuna namna ambayo nitajibu itakubalika mbele ya kadamnasi so nita🤐🤐🤐
Nimekosa cha kusema kuhusu hiyo sentensi yako ya mwisho 😩🫠
Kuna kitu kwenye human attraction kina itwa absence wewe Seran umeimasta vizuri saana hii. So unakuta kijana wa watu huko ume mhype, katengeneza mental picture kuku husu, alaf mwishoni unaanza kuplay hard to get.. Hapo lazima awehuke tuu😁Wana vichaa vya mapenzi tu, sihusiki kwa namna yoyote ile😅
Kama na wewe unamtindo wa kulaza kidume kwa style hii, wanawake wa aina hiyo huwa mnajituma sana kwenye ukunaji. Njoo inbox tayari nimesha vulugwa hapa. 🤤🤤🤤🤤,