Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Mambo ni mob! Kuna wanafunzi wamefunga shule wana funo balaa! Nyuzi 50 kwa siku!
Ndiyo maana kuna mambo ya kitoto toto sana humu, kuna nyuzi nimeona mwandishi kasema yuko form 5, nikachoka!
Nmemuona mshenzi huyu! Nishamwambia atajificha snaa ila ni rahisi kumnasa!
Naona uko naye sambamba

Double Take Idk GIF by Laff.gif
 
Ada ya mja ni tamaa.
Mwanadamu hatakaa apate utulivu kwa sababu kila siku hutaka vionjo vipya, akiisha kupata hiki hutamani kike , akisha kipata kile hutamani tena kurudia hiki.
Hivi ni nini mwisho wetu, je kuna mahali mtu unafika unatosheka kabisa either kimahusiano au hata kiuchumi. Au mzigo wetu hapa duniani ni ile hali ya kukimbiza kile tunachohisi ni bora bila kikomo?
 
Hivi ni nini mwisho wetu, je kuna mahali mtu unafika unatosheka kabisa either kimahusiano au hata kiuchumi. Au mzigo wetu hapa duniani ni ile hali ya kukimbiza kile tunachohisi ni bora bila kikomo?
Mwisho wa hayo ni kuuwa ego. Ila kama ujuavyo life becomes soo boring.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom