Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Ndivyo ilivyo, mwanaume anamtazama mwanamke mara moja tu na akili yake haraka inasema akiwa kitandani anakuwaje, na hapohapo zinaamka zile za hii type yangu au sio, then hakuna mwanaume mwenye ganzi kwa mwanamke anayekutana naye mara kwa mara iwe kazini, church, jodging, mpirani, baa, club etc, hapa bongo ni suala la muda tu, mtasogeleana muda utafika! Na hakuna mwanaume anakataa akiachiwa, hamna mkate mgumu kwa chai ni consistency tu na exposure vitafikisha golini!
Sijawahi kutamani kuwa mwanaume na hakika, kwa haya unayoyasema, siwezi kutamani. Akili yangu haiwezi hata kucomprehend matamanio ya namna hii. Hapana kwa kweli!
 
Kwa muonekano napenda mwanaume anaevaa vizuri smart

Wale wa ma chen chen noo

Asiwe kijana sana yaan awe 35 kwenda juu naamini walau akili imekomaa

Awe ananukia vizuri
Mwanaume anaenukia akinikumbatia nafika kibo hapo hapo

Awe akiongea anaonekana yupo timamu sitaki kilaza
Vigezo vimenyooka mamie!

Tea Period GIF.gif

Hayo yote ni enzi za uhai wangušŸ˜…šŸ˜…
Enzi gani, binti bado mbichi kabisa šŸ˜‚
 
Sijawahi kutamani kuwa mwanaume na hakika, kwa haya unayoyasema, siwezi kutamani. Akili yangu haiwezi hata kucomprehend matamanio ya namna hii. Hapana kwa kweli!

Hamna mwanamke anatamani mwanaume upo sahihi kabisa ni mwanaume ndio anainfluence umfuate, ndio maana nmesema ni nafasi tu mwanaume akipata na wewe masaa kadhaa tu anaanza kubadili stori na zitaelekea kibla, utakataa ila akiendelea kufuatilia na kukumbusha mara kwa mara na akapitisha na viofa vya hapa na pale unaachia mama yangu! Ndicho nilichamaanisha
 
Yeye alinitafuta
Well, kumbe ukoo vizuri I mshangazšŸ˜‹

I would say "shallow" but crazy could fit too.
Ohh noo that's deep
1003445745.jpg


Yeah, always nawaweka watu kwenye level ambayo nahisi nipo, expectation yangu ni utanizidi au tutalingana.
Shida inakuja ninaporealize, uko empty. Pia sivutiwi na uwezo wa kiuchumi, ila again zingatia hizo expectation nilizosema hapo juu na usianze kusema wanawake hatueleweki 🤣🤣.
Fair enough😢 ndo maana twafa mapema.
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba, wengine wanaishia kuwa watazamaji tuu.
I get you mmy nimeshaelewa turn-on's zakoi
Na humo humo pia kuna contradictions a poor clever man won't sustain, Kweli hujaumbwa hujaumbikašŸ˜“

Nakua hivyo hivyo pia ulivyosema, nikishakua attracted na wewe kwa sababu tumematch kihisia na kiakili (yani napenda unavyowaza, unavyoarticulate mambo, kujenga hoja, naheshimu kazi unayofanya, naona kuna vitu unaweza kunifundisha etc.) then ile ya kimapenzi inakuja automatically. Na hapo kwenye ya mwili, ndiyo patamu, maana naenjoy mapenzi kwa ujumla wake wote.
Ooh okay, you need someone who can own your mind?

then ile ya kimapenzi inakuja automatically. Na hapo kwenye ya mwili, ndiyo patamu, maana naenjoy mapenzi kwa ujumla wake wote.
Hapo madamu chukua mauwa yaako, I see that in you, how you write here, nakupa credit zoote za romancešŸ’Æ.

Mule mule ghete 🤣🤣🤣
Ila sasa naona ume evolve huchezei tena. Una mchana mtu makavu si ndio. Ajue tu kabisa Mshangazi huu uko serious šŸ’€
 
Binti anajificha nyuma ya umri wa 35 si bora aseme tu anataka mibaba ya wizarani ile inakuaga na skendo pembeni
35 siyo mbaba buana, wewe sema tu humo kwenye vigezo haujatosha.

Perfume za bei rahisi hazinukii anavyopenda huyo dada, vijana wanaonukia anaowataka yeye wanatumiaga manukato ya kuanzia laki 5 na kwenda juu, jipange!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom