Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Hamna mwanamke anatamani mwanaume upo sahihi kabisa ni mwanaume ndio anainfluence umfuate, ndio maana nmesema ni nafasi tu mwanaume akipata na wewe masaa kadhaa tu anaanza kubadili stori na zitaelekea kibla, utakataa ila akiendelea kufuatilia na kukumbusha mara kwa mara na akapitisha na viofa vya hapa na pale unaachia mama yangu! Ndicho nilichamaanisha
Nimekuelewa, ndiyo maana sisi tulivyokua mabinti tulifundishwa na sasa tunafundisha mabinti zetu, kutokua na ukaribu na wanaume. Ukianza kukaribisha vistory story na mazoea yasiyo ya lazima hapo sasa ndiyo unajitengenezea mazingira ya kutongozwa au kuliwa.

Zamani, mwanaume unamuwekea ugumu haswa, hizo juhudi anazotumia, mpaka ukija kumpa unaona kabisa anastahili, ila naona kwa sasa mambo yamebadilika.
 
Pole weee 😆
img_1_1781505160190.jpg
 
35 siyo mbaba buana, wewe sema tu humo kwenye vigezo haujatosha.

Perfume za bei rahisi hazinukii anavyopenda huyo dada, vijana wanaonukia anaowataka yeye wanatumiaga manukato ya kuanzia laki 5 na kwenda juu, jipange!
Dada acha basi kua mkweli sana aaah😆🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom