Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Nimekutamani 🤭 - Njoo tuzogoe!

Mwanaume hahitaji connection kumtamani mwanamke, tusiwe tunasahau kwamba binadamu ni wanyama tu kama wengine, na kinachomtrigger mwanaume ni "EXPOSURE" tu hamna kingine, mwanamke kuwepo tu around mwanaume anatest tu, na kupima kinalika? Response ya mwanamke ndio itaamua iwe leo au siku ingine, hamna mwanamke mgumu kwa mwanaume as long as kuna exposure, wataanza kwa kutazamana, then mazungumzo ya kawaida then exposure inavyozidi stori zinabadilika taratibu

Mwanaume anapomuona mwanamke muda wote akili yake ishaamvua nguo na kuunda picha na kufikiria anakitaka hiki kitu au la, na hata akiamua hakitaki kikawa na exposure naye atajaribu tu mwanamke akiachia tu ataliwa hata kama mwanaume huyohuyo aliona awali hakina kiwango anachotaka, so triggers za kumuamsha mwanaume ni kila kitu kilichopo kwa mwili wa mmama!

Kuna watu wanajutia wenzi wao kwa sbb hzhz alitest kikawaka akasahau wote wa nyuma hata aliokua na malengo nao!
Umeelezea vizuri sana na nimeelewa, ila maisha ya wanaume ni magumu sana kama ni kweli kila mwanamke unayemuona akikaa kwenye line yako basi unaanza kufantasize itakuwaje akiwa naked.
 
Yes 1st impression ni kwa yule wa "type" yako ukiwa na exposure hata na usiyemtaka utajikuta mnazoeana then jicho linakuwa kengeza unatest mambo, akikubali tu kosa unaweza kula hata ofisini, kwenye gari, chooni, na kwingeneko pasipo rasmi, halafu wanaume huwa tunajifanya ni one time show, ila itakuwa inaendelea tu utafanya kwa siri tu ili isionekane unakula mtu sio wa "type" yako! Mnakuwa mnapigiana simu tu au text mkutane chocho then kila "ntu" na njia yake baada ya hapo😛😛
Angry Meryl Streep GIF.gif
 
Ndivyo ilivyo, mwanaume anamtazama mwanamke mara moja tu na akili yake haraka inasema akiwa kitandani anakuwaje, na hapohapo zinaamka zile za hii type yangu au sio, then hakuna mwanaume mwenye ganzi kwa mwanamke anayekutana naye mara kwa mara iwe kazini, church, jodging, mpirani, baa, club etc, hapa bongo ni suala la muda tu, mtasogeleana muda utafika! Na hakuna mwanaume anakataa akiachiwa, hamna mkate mgumu kwa chai ni consistency tu na exposure vitafikisha golini!
 
Ndivyo ilivyo, mwanaume anamtazama mwanamke mara moja tu na akili yake haraka inasema akiwa kitandani anakuwaje, na hapohapo zinaamka zile za hii type yangu au sio, then hakuna mwanaume mwenye ganzi kwa mwanamke anayekutana naye mara kwa mara iwe kazini, church, jodging, mpirani, baa, club etc, hapa bongo ni suala la muda tu, mtasogeleana muda utafika! Na hakuna mwanaume anakataa akiachiwa, hamna mkate mgumu kwa chai ni consistency tu na exposure vitafikisha golini!
Ni kama jogoo tu kuku mgeni lazima awe na kazi. 😅 Ila Kuna wengine tumejitambua kiasi tunaweza ku control kwa muda mrefu(nimesema ku control) sio kizuia
 
Ni kama jogoo tu kuku mgeni lazima awe na kazi. 😅 Ila Kuna wengine tumejitambua kiasi tunaweza ku control kwa muda mrefu(nimesema ku control) sio kizuia

Ni suala la muda tu, mtu akiamua kukufuatilia na mnakutana kila siku utamuelewa tu, labda unaweza kupiga chini kwa show mbovu ya trial, control haipo ya kudumu my dear! Sadly
 
Ni suala la muda tu, mtu akiamua kukufuatilia na mnakutana kila siku utamuelewa tu, labda unaweza kupiga chini kwa show mbovu ya trial, control haipo ya kudumu my dear! Sadly
Ndo maana tunakufa mapema. Miili yeetu ina work against us. Sometimes inabidi uwe delusional ili mambo yaende. Imagine mko peke yako na demu alaf anakushika pipe for no reason!! Unachomoaje? Ila yeye sasa gusa hata Makebo uone matusii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom