Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 6,973
- 14,152
Na mnajua kuwateka haswa ashukuriwe aliyeaznisha kikokotoo lasivyo
Hahaha wazee wakumbukwe!
Na mnajua kuwateka haswa ashukuriwe aliyeaznisha kikokotoo lasivyo
Unakuta mzee anapata pensheni binti alimaliza chuo anataka kukukotoa pensheni ya mzeeHahaha wazee wakumbukwe!
Sijui kwanini hua hamuamini kama binti anaweza kuvutiwa na mtu mzima yaan kwanini hamuamini?Unakuta mzee anapata pensheni binti alimaliza chuo anataka kukukotoa pensheni ya mzee
Hapana mbona hamvutiwi na mtu mzima maskini?Sijui kwanini hua hamuamini kama binti anaweza kuvutiwa na mtu mzima yaan kwanini hamuamini?
Mtu mzima maskini kwa angle ipi sasa kijana mdogo 😅 ?Hapana mbona hamvutiwi na mtu mzima maskini?
Kiuchumi usijitoe ufahamuMtu mzima maskini kwa angle ipi sasa kijana mdogo 😅 ?
😅😅😅 usinifokee basi dahKiuchumi usijitoe ufahamu
Yaani tu awe mwanamke attractive ajazilie mnyama kinamna flani, awe na macho flani hivii, awe ana sauti ya kudeeka yaani it's too much haziishi
Inamaana Binti wa zamani anakusingizia😅😅😅 usinifokee basi dah
Mi nimesema navutiwa na mtu mzima kuanzia 35 kwenda juu kwa sababu naamini walau yeye anajitambua sijasema neno pesa
Bye 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣🤣Aiseeeeh, hakuna hata kitu kimoja 🤣
View attachment 3610992
Bro Evelyn Salt jana kasema yeye ni hela tu, ngoja tumuulize na Espy_ yeye huwa anavutiwa na nini?
Hajanisingizia yeye kanielewa vyema wewe ndio hutaki kuelewaInamaana Binti wa zamani anakusingizia
Ni kweli unatumia body spry ya 500k? Na sio mbungeHajanisingizia yeye kanielewa vyema wewe ndio hutaki kuelewa
Kwa heshima nimefika tamati🙏🙏Ni kweli unatumia body spry ya 500k? Na sio mbunge
Hata sielewi nimeunganisha maneno ya kisukuma hapooUnaandika kinyamwezi au?
Kuhit e kinehe lulu? Kubachejela hale natobamana nene bajage okho!
Nilekagi💃🏽
Nakupa NB ya SUGUHata siwezi kueleza nikaeleweka.
kuna mmoja nilimmiliki kwa miezi michache tukawa kama mapacha kwenye masuala ya matamanio yetu.... Tuliyafanya mapenzi kama chakula ikafika kipindi wote tukiamka asubuh miguu inalia kama bawaba kisa uroto umepungua
Kama sio Mungu kututenganisha tungefia kitandani mbwa sisi🤣🤣🤣🤣
Unavyohisi wewe kijana unanitetea mimi wapi? na kuna siku nimeshawahi kuomba kutetewa au unaniletea ……………..?bora jua liwake kutokee ukame mkali na mafuta kuendelea kupanda kuliko kuwatetea vijana kama hawa hasa mtoa post
Mtu unawaza ngono tu......Unavyohisi wewe kijana unanitetea mimi wapi? na kuna siku nimeshawahi kuomba kutetewa au unaniletea ……………..?
😂😂 hadi kaanguka kwenye kiti kwa ubuyuUnavyohisi wewe kijana unanitetea mimi wapi? na kuna siku nimeshawahi kuomba kutetewa au unaniletea ……………..?