Naombeni msaada tafadhari!
Mauza uza haya nilianza kuyaona mwezi wa nne nilipokuwa nataka kusafiri kwenya Italia, kwa kuwa card yangu ya CRDB ilikuwa ni Tembo card na siku renew niliamua kwenda kuactivate account yangu ya STANDARD CHARTERD bank ambayo awali ilikuwa na deni la kama -63700. nilifanya hivi makusudi ili nipate card mpya (credit card) ntakayotumia Italia
Nilipofika benk nilijaza kwanza form ya kuangalia salio na kumpatia CASHIER ambapo aliangalia balance akajaza akanirudishia nikakuta 765,000 nikashtuka kidogo, afu nikataka kuuliza nikaona ngoja niuchune, nikaaa pale benk nikiwaza baadae nikaondoka zangu. kwa kuwa nilikuwa na hela sikudeal nayo sana ile hela. baada ya kama wiki nikaona nikacheck tena salio nikakuta 735000 nikaona nitoe 50000 kutest na kweli zikatoka nikatulia. nikasafiri zangu
Sasa juzi tar 02 nikasema ngoja niende ATM nikaangalie kama ile hela ipo, ile kuomba balance kwa ATM nikaona imenitolea karatasi inaonyesha salio 74,549,940.36, nikachanganyikiwa! sikutoa hata shilingi nikaogopa. leo tena nimeenda pale mikocheni nimeangalia salio nimelikuta hilo hilo duu nimechanganyikiwa na naogopa hebu nisaidieni nifanye nini na hizi hela
Niende police?
Nikariport bank?
Niuchune nitumie?
Mkuu mm hii stori imenikumbusha mambo mawili, la kwanza wakati nasota A'level kule Tosamaganga nguna ya shule na harage ilinichosha nilikuwa napata kiungulia kikali balaa, siku moja nina njaa kali ikapita gari ya pepsi nikatamani lidondoke nichukue soda halaf lipite gari la mikate nalo lipinduke hapo haporipot bank usije fungwa bure huko mbelen
lakin hii stori tamu
umenikumbusha enzi zile za utoto nilitamani sana ndege ya WORLD BANK ianguke nje ya nyumba yetu
Zihamishie kwenye account yangu ili mimi niubebe huo mzigo wewe ubaki na amani.duu hapa nimeshindwa nifanye nini ndugu yangu! naona bora nikae kimya kama sijaziona hata upite mwaka mzima, milion 70 mkuu?? nikariport
Am kweli watanzania tuna nyota ya umaskini kabisa, Hakuna cha kujiuliza ni kubeba pesa tu, hayo mengine baadae.Hizo pesa usitoe wala kufanya jambo lolote ila jaribu kumuuliza kwa meneja kuchek hiyo pesa imeingizwa lini( jifanye kuna mtu alisema atatuma pesa ili uweze kujua inatokea wap hiyo pesa ) na usiongee kwa mtu kwanza ili ufanye uchunguz wako . pia jambo la Pili inategemea kaz zako unazofanya inaweza ikawa unawekewa mtego ili kupate skendo au ufungwe kwa tuhuma za rushwa kikubwa hiyo pesa usitoe taarifa . fumba macho kama haipo vile kipind unaendelea na uchunguz wako ukiona zipo sawa mkuu tumia kwa kujengea nyumba au mradi wenye kuzalisha faida mfano kujenga nyumba za kupangisha , kujenga guest house na kununua mashamba . ila kikubwa zaid jitahid uchunguzee wewe mwenyewe kama imekosewa basi itakuwa bahat yako
Hebu shangaa na wewe, tena anakuja kuleta na uzi wa kukimbia pesa, more than a fool.Nipo Mkwe ss tunatafuta ela huyu anazikimbia hela
That should be exactly.Huyu Jamaa atakuwa tapeli Tu, kwa usawa huu wa Magu huwezi kupata muda wa kuja kuposti ishu kama hiyo JF. Wajinga ndiyo waliwao
HahahajahaHizo ni hela za Simba sport club, huenda zimewekwa hapo kwa muda kukwepa kodi/ Takukuru, kwahiyo kama ni mwanachama wao ziache tu, kama wee ni Yanga zile zote, hata wakikukamata watajua unatania kwa kuwa wewe ni mtan wao ..!!
CC Aveva ...!!
Mkuu sio CRDB bank,ni Standard Chartered bank.Duuuuuh seriously hebu nitafute mkuu tujue cha kufanya.
Duh,sijui na mimi nihamie CRDB?
yaani bora wewe mi kuna jamaa yangu alikuta 90m.....kumbe nasikia walikuwa wanatumia account yake kuibia hela....ikaenda ile 90m ikatoka, wakaweka 40m ikatolewa last year wamemuachia 24m na mpaka leo hakuna aliyeitoaNaombeni msaada tafadhari!
Mauza uza haya nilianza kuyaona mwezi wa nne nilipokuwa nataka kusafiri kwenya Italia, kwa kuwa card yangu ya CRDB ilikuwa ni Tembo card na siku renew niliamua kwenda kuactivate account yangu ya STANDARD CHARTERD bank ambayo awali ilikuwa na deni la kama -63700. nilifanya hivi makusudi ili nipate card mpya (credit card) ntakayotumia Italia
Nilipofika benk nilijaza kwanza form ya kuangalia salio na kumpatia CASHIER ambapo aliangalia balance akajaza akanirudishia nikakuta 765,000 nikashtuka kidogo, afu nikataka kuuliza nikaona ngoja niuchune, nikaaa pale benk nikiwaza baadae nikaondoka zangu. kwa kuwa nilikuwa na hela sikudeal nayo sana ile hela. baada ya kama wiki nikaona nikacheck tena salio nikakuta 735000 nikaona nitoe 50000 kutest na kweli zikatoka nikatulia. nikasafiri zangu
Sasa juzi tar 02 nikasema ngoja niende ATM nikaangalie kama ile hela ipo, ile kuomba balance kwa ATM nikaona imenitolea karatasi inaonyesha salio 74,549,940.36, nikachanganyikiwa! sikutoa hata shilingi nikaogopa. leo tena nimeenda pale mikocheni nimeangalia salio nimelikuta hilo hilo duu nimechanganyikiwa na naogopa hebu nisaidieni nifanye nini na hizi hela
Niende police?
Nikariport bank?
Niuchune nitumie?