Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Habarini wakuu!
Juzi usiku February 17, 2023 nilicheck balance kwenye akaunti yangu ya benki (Jina limehifadhiwa), nikakuta Milioni 20. Nilirudia kutizama balance mara 15 ni kweli hela ikawa imo.
Sikuamini macho yangu, nikapita bodaboda hadi kwenye ATM iliyopo jirani na ninapoishi, ni kweli hela ipo.
Nilikuwa simdai mtu yeyote wala taasisi yeyote.
Mara ya mwisho akaunti yangu kuwa na hela nyingi (Milion 2) ni 2015 au 2016.
Maamuzi niliyoyachukua ni kuanza kuhamisha hiyo hela kwa kutumia App, kutoa hela kwenye ATM na kwa Wakala. Sikuingia ndani benki kuichukua.
Hadi leo tarehe 19 February, imebaki shilingi 250,000 tu kwenye akaunti, zote nimevuta.
Liwalo na liwe. Hiyo benki hawataniona tena. Nimevunja na ATM Card.
Swali langu, je hiyo hela itakuwa benki ndo walikosea wakaihamisha?
Matukio kama haya huwa yapo? Maana mm sikutaka hata kuingia ndani benki kuchukua statement jana 18/2/2022.
UPDATES - 20 FEBR
Benki wamenipigia cm niende tawini kwao. Natafuta mwanasheria mzuri niende. Naombeni mawazo pia ndugu zangu.
Nina 5m tu Cash.
Tulianza pamoja, tumalize pamoja.
Juzi usiku February 17, 2023 nilicheck balance kwenye akaunti yangu ya benki (Jina limehifadhiwa), nikakuta Milioni 20. Nilirudia kutizama balance mara 15 ni kweli hela ikawa imo.
Sikuamini macho yangu, nikapita bodaboda hadi kwenye ATM iliyopo jirani na ninapoishi, ni kweli hela ipo.
Nilikuwa simdai mtu yeyote wala taasisi yeyote.
Mara ya mwisho akaunti yangu kuwa na hela nyingi (Milion 2) ni 2015 au 2016.
Maamuzi niliyoyachukua ni kuanza kuhamisha hiyo hela kwa kutumia App, kutoa hela kwenye ATM na kwa Wakala. Sikuingia ndani benki kuichukua.
Hadi leo tarehe 19 February, imebaki shilingi 250,000 tu kwenye akaunti, zote nimevuta.
Liwalo na liwe. Hiyo benki hawataniona tena. Nimevunja na ATM Card.
Swali langu, je hiyo hela itakuwa benki ndo walikosea wakaihamisha?
Matukio kama haya huwa yapo? Maana mm sikutaka hata kuingia ndani benki kuchukua statement jana 18/2/2022.
UPDATES - 20 FEBR
Benki wamenipigia cm niende tawini kwao. Natafuta mwanasheria mzuri niende. Naombeni mawazo pia ndugu zangu.
Nina 5m tu Cash.
Tulianza pamoja, tumalize pamoja.