Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Hahaaa polee sana mkuu...lakini naomba namba ya huyo mrembo wako niweze kutoa ushauri vizur
 
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
"lini nitakutom**a tena? kwahiyo hilo neno liliingia kavu kavu hivyo hivyo ?
 
"lini nitakutom**a tena? kwahiyo hilo neno liliingia kavu kavu hivyo hivyo ?
halafu wanaoambiwa hvyo ni malaya,... wasioheshimika.... yani huyo jamaa anakamata anattia anasepa zake,,, hap hana demu... wewe jikate zako tu.. usikute wewe una mrespect sana na hujawahi kumwambia hivyo
 
halafu wanaoambiwa hvyo ni malaya,... wasioheshimika.... yani huyo jamaa anakamata anattia anasepa zake,,, hap hana demu... wewe jikate zako tu.. usikute wewe una mrespect sana na hujawahi kumwambia hivyo
tena ukitaka tendo unafanya kwa vitendo tu huzungumzi... hilo neno kavu mno duh
 
mimi demu akini chit basi. end of the movie, sitamuacha ili asiumie but ataniacha yeye, huku nikizua kuwa nimeumia ila kumbe nimefurahi yeye kusepa,,,
 
Unampenda kiaama eee subiri kiaama kitakapo simama ndoo utakapojua mnacho kifanya ni halaliii au sio halali. Muogope ( mungu ) wako.
 
tena ukitaka tendo unafanya kwa vitendo tu huzungumzi... hilo neno kavu mno duh
hayo ndio mapenzi ya kweli, unamualika kwako ama mkutane sehemu basi unamsifia sifia vya uongo na kweli kiulaiiiini unakula mzigo, tena kwa hesima sana . ila hapo dem kadharauliwa sana ni kama muuza papuchi tuu.. !!!
nakumbuka zamani nikifika buguruni kununua papuchi , nikisaiona ninayempenda namvuta pembeni namuuliza bei ani,? akitaja kubwa namshusa basi naenda kula mzigo
 
hayo ndio mapenzi ya kweli, unamualika kwako ama mkutane sehemu basi unamsifia sifia vya uongo na kweli kiulaiiiini unakula mzigo, tena kwa hesima sana . ila hapo dem kadharauliwa sana ni kama muuza papuchi tuu.. !!!
nakumbuka zamani nikifika buguruni kununua papuchi , nikisaiona ninayempenda namvuta pembeni namuuliza bei ani,? akitaja kubwa namshusa basi naenda kula mzigo
inaumiza ila ndiyo baadhi ya mabinti wa siku hizi
 
adden cyber crime inakuhusu. Kuwa mpenzi wake,si kimnyang'anya faragha yake. Alikuwa anabadilisha mboga. Msaidie kumwekea kondom kwenye kibegi chake,asije leta magonjwa.
 
INAWEZEKANA NI UTANI TU WE UNAUMIA BUREEEE
 
Kama yeye ni mlokole atapigaje kiroba?
Kama mlokole mchumba ana chat yy anafungua baibo anaanza kuimba pambio au kusoma zaburi kupunguza mawazo

Technically afanye kitu ambacho kitamfanya awe bize
 
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
Khaaa, huo wivu hataree. kwani hivi kuchat na wanaume ndo kungonoka?
 
Ulifanyaje??? Tupe ujanja isije kuwa stoty yako sio real
 
umetumia uzembe wake kuingia kwenye hiyo ac na si kwamba ume hack fb ac..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom