Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nakupa rai moja, ingia Facebook yake tuma ujumbe tuonane, sehemu flani soon as possible. halafu futa msg.
Kama huyo jamaa atafika hio sehemu atamtumia msg mpenzi wako kwa what's nimefika
Hapo sasa huyo demu ndio ataanza kuhoji, Najua ujumbe ataupata na atajiuliza masuali mengi ya usaliti
 
Nakupa rai moja, ingia Facebook yake tuma ujumbe tuonane, sehemu flani soon as possible. halafu futa msg.
Kama huyo jamaa atafika hio sehemu atamtumia msg mpenzi wako kwa what's nimefika
Hapo sasa huyo demu ndio ataanza kuhoji, Najua ujumbe ataupata na atajiuliza masuali mengi ya usaliti
Kwa kipindi hichi nimejarib kutumia busara sn mosi nimezdisha mapenz kwke mara 1000.kingne yy haonyeshi km ana mambo anafanya cku zte anazidisha kunijal n kunienz profile zote kaniweka tumekumbatiana ananipost mitandaoni ila bado kila cku naona anaanzisha kuchat n watu fb.me nachotaka kufanya nimpagawishe zaid nione consequence itakuwane
 
Sikiliza song la rich mavoko.... kuchapiwa ni siri ya ndani lol... ha ha habari ndio hiyo hiyo nasikia harufuu ya demu wa adden kunyosolewa... lol
I need to win her betrayal mind.ila inaonyesha kuna sehem ktk maongez yke na michepuko inaishia juu ju nahc hajijui anataka nn kw hao wanaume bdo muoga au anajarib kuwajua wanaume wakoje.bdo hajielew anachotaka huko nje ni nini
 
Kabla hujamchinja bata lazima utafute kisu na ukimbize umkamate... hizo dalili za kuchat nao ndio mwanzo wa kuchinjwa
 
Wanawake waaminifu duniani hawajaisha, kama hujamuao na umedhibitisha sio mwaminifu na wewe unauhakika huchepuki, jibu rahisi muite mweleze, kisha muache. Kama ni Mke hapo busara zaidi anahitajika.

Mchumba kumuacha maumivu yake hayakaribii kabisa maumivu ya kumuacha Mke.

Uwe huru usiendeshwe ovyo na vitu vitakavyokunyima uhuru.

Maisha mafupi mkuu
Me naongozw na saikoloji sana pia hiki kitu nachukulia km case study juu y wanawake kiukwel mwanamke ni km mfupa kw fisi kw wananaume.mwanamke ht awe educated bado anaongozw sn na hisia hana control ktk hisia.they are very easily brain washed and manipulated
 
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
Naomba nielekeze namna ya Ku hack whtsp ili nam nimjrb
 
Me naongozw na saikoloji sana pia hiki kitu nachukulia km case study juu y wanawake kiukwel mwanamke ni km mfupa kw fisi kw wananaume.mwanamke ht awe educated bado anaongozw sn na hisia hana control ktk hisia.they are very easily brain washed and manipulated
Hebu fafanua mkuu
 
Hebu fafanua mkuu
The bottom line wanawake wanaongozwa n hisia na ndio silaha kubw wanaume wanaitumia kuwakwaza wanawake wanajitahid sn cku hz waingie ktk mahusiano huku wanakufanyia evaluatians lakin sbb mwanaume ni smart sn anaweza pretend all the way mwanamk anavyotaka.hapo ndo mwanaume anapoweza ku win her heart completely.ndio maisha yanavyoenda hvy mwanaume akishamtumia haja zake zimeisha anamdump yule dem.mwanamke atajifunza na kuapa kwmb hatapenda tena lakin at the of time atajikuta anaumizwa tena tena.huyo ndo mwanamke ni mwepes kusahau past pia wanawake nikisema wanafata hisia zao ni kwamba wanaogopa sn kuw wapweke wanaogopa upweke kuliko kipindupindu.do u understand what i mean
 
Naomba nielekeze namna ya Ku hack whtsp ili nam nimjrb
Ni rahis zaid km utaweza kushika cm yake kw dkk 1.then cm yako iwe na app mbili za wassup moja yako ingne iwe empty.ktk hii empty ingiza namba yake itatuma code ktk cm yake hyo code weka ktk wasup empty hapo umempata.ila hakikisha mesage y code kwke umefuta ili asishtuke.utaona kila kitu hapo ila lazma upungue kilo km 60 kwa siku kazi ni kwako
 
Ni rahis zaid km utaweza kushika cm yake kw dkk 1.then cm yako iwe na app mbili za wassup moja yako ingne iwe empty.ktk hii empty ingiza namba yake itatuma code ktk cm yake hyo code weka ktk wasup empty hapo umempata.ila hakikisha mesage y code kwke umefuta ili asishtuke.utaona kila kitu hapo ila lazma upungue kilo km 60 kwa siku kazi ni kwako
Asante sana. Nikizidiwa ntatoa
 
Kila anayemshangaa mwingine akigeuka upande wake na kutafakari anaweza ajishangae hadi azimie.
 
Siku hizi mnajifanya kuoa wasomi. zamani wanaume walijendea vjjijini wakajipatia warembo wasioju ustaarabu wa mjini. kisha waliwapiga mimba za mfululizo kipindi cha kuzaa kikisha hawana hamu tena. leo hii wanaume mmepatikana na Valentine wa Song of Ocol Song of Lawino
 
h
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
Hahahahahahaha hii ningeua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom