Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Ndo ukome, omba uwekewe dripu ya konyagi uwe unapata usingizi vzr
 
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.

Aisikudanganye mtu demu wako mchunguze 100%., kama umegundua hivyo vitu ni vyema mukaachana mapema sana.
 
Mimi ndo namjibia msg zake zote anazotumiwa on social network bas daily anatongozwa
 
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.


Kuna wakati hutakiwi kujua kila kitu cha mpenzi wako,utakufa na presha mapemaa,!!!!!
 
Kuna wakati hutakiwi kujua kila kitu cha mpenzi wako,utakufa na presha mapemaa,!!!!!
Kweli man kwa hyo niache tu maana presha inazd tu.acha nisifatilie tu sbb sipo tiar kumuacha najiumiza tu
 
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
Kaaaazi kweli kweli
 
Ni kwel

Kumuacha nahisi siwezi,ingawa me pia huko nje nnao wa kutosha ila hajui.daahh wanawake hawa
Sasa kama huko nje unao wa kutosha mbona unatupigia kelele hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom