Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
Uliyataka mwenyewe! chaguo lako mwenyewe! umependa kufanya hivo mwenyeweeeee.....!!!!! acha uisome nambaaa.... eeeeh!!! presha mbele kwa mbeleeeeeeee......
 
hahahaaaaaaaaaaaa................duuuu, yakwako ndo ilikuwa kali, mi mwenzenu akuuuuuuuuuu, najijua siwezi kumuacha sasa pressure zanini?????
sishiki cm, wala nini akiamua ku cheat a cheat salama, huwezi kuwa nae muda woteee, so take care usirudie maana utapata ugonjwa wa moyo bureeeeeeeeeeeeeh..........
Yaani acha tu najuta asee.hv vitu c vy kufatilia asee hp nahc roho inatoka
 
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
Hahahhaha mali ni yake mtumiaji ni yeye unapaniki nn
 
Kwahiyo kwa akili yako mbovu ulifikiri insular tu mwenyewe, ukitaka ivo kamgonge mwanao
 
hahahaaaaaaaaaaaa................duuuu, yakwako ndo ilikuwa kali, mi mwenzenu akuuuuuuuuuu, najijua siwezi kumuacha sasa pressure zanini?????
sishiki cm, wala nini akiamua ku cheat a cheat salama, huwezi kuwa nae muda woteee, so take care usirudie maana utapata ugonjwa wa moyo bureeeeeeeeeeeeeh..........
Mtoto wa kiume utasemaje "akuuu" mbele ya vidume?
 
Utakuja kufa kwa presha sikmu nyingine,
Usichunguze zaidi siku nyingine utakuta amejirecord video analiwa tgo bure

Hapo ndo utakufa kabsaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom