mmmmh! ngoja nijipitie zangu kimyakimya donda langu bado halijapona
teh!Mtoto wa kiume utasemaje "akuuu" mbele ya vidume?
Asante ndugu
itake yakukute aisee ni balaa utatamani usimuone milele machoni mwako kama ni mkeo inauma hatariiiii acha kabisaa kuchapiwa ni mbaya kuliko kupoteza fedha na vitu vingine lakini sio utamuuuuuuuuu!!!!Yaani acha tu najuta asee.hv vitu c vy kufatilia asee hp nahc roho inatoka
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ..........?Ni kwel
Kumuacha nahisi siwezi,ingawa me pia huko nje nnao wa kutosha ila hajui.daahh wanawake hawa
Na moja ya fahari kubwa ya mwanaume ni kugonga wake za watu.Ila moja ya dharau kubwa kwa mwanaume ni kugongewa MKEWE aisee
Funguka mkuuNi story ndefu sana mkuu data tena sanasana! Oneday nitasimulia mkasa mzima naimani watu wengi watapata kujifunza kitu kupitia story yangu.