Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,793
- 814
unataka maumivu eeh??Ulitumia njia gani ku hack whatsapp yake?
unataka maumivu eeh??Ulitumia njia gani ku hack whatsapp yake?
Ulitumia njia gani ku hack whatsapp yake?
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
Hapana mkuuu...kuhack mtandao wa whatsapo sio rahisi kama jamaa alivyotaja hapounataka maumivu eeh??
Mimi yenyewe amenishangaza na kunikera hivi hivi wasio rizki ndo wanaanzagaMtoto wa kiume utasemaje "akuuu" mbele ya vidume?
Ahahahaa unaweza fatilia ukaja kujkuta wewe ndo mchepuko na ukachezea kbano mwnywe..apo ww deal na wako 2 alyekusalitiAisee ina maana huyo mtuma msg hukumfuatilia ili umpe kibano? Ningekuwa mimi ningechukua namba zake alafu nimpe mtu( mwanamke mwingine) afanye nae mawasiliano ili nimkamate nimpe kibano cha kutembea na wife. Huku Biharamulo ndo wanavyofanya, hawawezi kumuacha mtu anayetembea na mke wa mwingine kizembe hivyo.
Hata me naona hvyo ila inauma bado.au anaona raha kusumbuliw?!ila cku zte mamaako ndo umuamin sio mwnamke mwngneUngeomba kabla.mi nibadilishana nae simu.nikakuta sms za midume ikimtokea japo haonekani kujibu.sijui kweli ama anafuta
Hahaha kaka huyo atakuwa na pepo ya ngono kaaahKuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
Kuhack au kuhick?Nifundishe jinsi ya kuhick
hahahaaarmmmmh! ngoja nijipitie zangu kimyakimya donda langu bado halijapona
Ww jamaa vp unataka utafune peke yako acha izo mambo acha na wengne watafuneNaombeni ushauri wadau,
Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.
Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.
Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
Mkuu nipe majina ya izo programNaombeni ushauri wadau,
Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.
Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.
Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.