Mwiko kuchunguza sim za wapenz jamanh
Hahahahahahaha hii ningeua
Mi nimefumania utumbo juzi ila sasa dah imebidi niungane na rich mavoko tuMwiko kuchunguza sim za wapenz jaman
Mkuu hukuuaaKuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
Rahisi sanaHapana mkuuu...kuhack mtandao wa whatsapo sio rahisi kama jamaa alivyotaja hapo
Sasa mkuu unalia nini tena wakati na ww unachepuka?Ni kwel
Kumuacha nahisi siwezi,ingawa me pia huko nje nnao wa kutosha ila hajui.daahh wanawake hawa
Kwa kipindi hichi nimejarib kutumia busara sn mosi nimezdisha mapenz kwke mara 1000.kingne yy haonyeshi km ana mambo anafanya cku zte anazidisha kunijal n kunienz profile zote kaniweka tumekumbatiana ananipost mitandaoni ila bado kila cku naona anaanzisha kuchat n watu fb.me nachotaka kufanya nimpagawishe zaid nione consequence itakuwane
Duuuhh uzi wa kitambo huu man
Na ukiuza utumbo usiogope inzisasa kama wewe ulimtongoza akakukubalia kwa nini asiwakubalie wengine ?
Ili uepuke mafua usichezee vumbi
Nilimtandika mimba sshv mtoto anatambaa
wewe ni chaklahahahaaaaaaaaaaaa................duuuu, yakwako ndo ilikuwa kali, mi mwenzenu akuuuuuuuuuu, najijua siwezi kumuacha sasa pressure zanini?????
sishiki cm, wala nini akiamua ku cheat a cheat salama, huwezi kuwa nae muda woteee, so take care usirudie maana utapata ugonjwa wa moyo bureeeeeeeeeeeeeh..........