kwanini
Namuogopa, nisadie kumuuliza.
Ninakabinti pale nyumbani elimu yake form four division four kamekataa kurisiti, ni keupe kametulia kanataka kuolewa ni pm kama upo tayar mkuu!i
Nimemuuliza kasema hana simu wala email. Chakarika walau ka-nokia lumia uweke kheshima fasta
karibu meeeen!
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
Utasubiri sana.
asante sana mamii...........naona leo nyota ya jah imenidondokea. Kirikou Wa Kwanza njoo laazizi wangu tuendelee kabla hatujaingia chumban
kwanini sasa? Mbona hunanikatisha tamaa ndugu yangu.
Nitapata shemeji humu! Ila tenda ya maturubai mnipe mie
Kumbe tupo wengi.
nilijua siwez pata mume jf kumbe nilikosea..................
leo nimebahatisha na mimi nimefurah.
Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV.
Labda magengeni arifu, kwa sababu....
Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV.
Alilililu...... Dada anaolewa mahari ishatolewa... Haya mashosti tuimbe!!!!
umri miaka 23; Kazi mpaka rangi. Elimu form IV