Nimekimbia FB nimekuja JF.

Nimekimbia FB nimekuja JF.

Ok. Hasa kila mtu anajua now. So tupeane namba za simu basi. Anza kuandika yako.

sasa namba tukiandika hapa haifai tutaandikiaana sirini.
tuendelee kwanza kujua vizuri.

je wew wapenda nikuite jina gani wangu??
 
Mie naomba niwe mpiga vigelegele tu si unajua siku hizi kila kitu unachangamka mapema lol.
Ila huyu mkaka kama yuko serious kapata mke maana mdada ni mrembo na haijui hata fb eti gfsonwin sijawahi kusikia unaizungumzia fb

mie sipajua kabisa ndio wapi huko FB.
kwani mpenzi huko watu wanafanyagaje??
 
hongera sana kwa akzi nzuri. yaelekea mwenzangu wewe unakipaji hasa na pia maisha sio mabaya sana kwako.

haya niambie unampango wa kujenga kwanza?? mm naish nyumba ya kupanga manzese kwa mfuga mbwa.......
Halafu naona wengine wanakupiga vita ndugu yangu sijui kwanini wale majirani wanakufuatilia mpaka humu lol. Najua kuna uliowatimua walipoleta za kuleta , nadhani ndio maana wanachuki binafsi. Mwaya haya ndio mambo ya uswahilini hatuachi kufuatiliana naoana safari hii utabahatika usikatishwe tamaa na maneno ya watu.
 
kuna watu na vismati vyao.
umesahau kwamba wa mbili havai moja??
Yaani umebahatika jamani kumbe jf ni noumaaa . Sikutegemea kama unaweza pata mchumba humu , ama kweli subira yavuta kheri. Sijui nikupongeze kabisa au itakua m apema mno......
 
Wa JF wenyewe wanakimbilia FB mnapishana.

Nakushauri ushauri ukitaka kupata watoto wazuri usiwe mchoyo wa vocha za simu.
 
Me siwezi kuja huko kwa mfuga. Naogopa Mbwa. Njoo wewe.

jamani sasa wewe inamaana hutakkuja kabisa kupaona nilipopanga??
mwanaume haogopi mbwa bana.

halafu nimekuuliza nikuite jina gani tamu??

honey, switi, dalingi, laazizi, msiri wangu, mwandani wangu ama lipi yarabi mpenzi wangu.
 
Yaani umebahatika jamani kumbe jf ni noumaaa . Sikutegemea kama unaweza pata mchumba humu , ama kweli subira yavuta kheri. Sijui nikupongeze kabisa au itakua m apema mno......

mwali nimepata tena wa bahari beach mweeeh!
wapambe lazima mjinyonge mwaka huu manake fikiria toto la uswaz manzese kwa mfuga mbwa leo naenda nchi ya mageti n upepo wa bahari nitake nini tena mimi yarabi.
 
Back
Top Bottom