Nimekimbia FB nimekuja JF.

Nimekimbia FB nimekuja JF.

Mie napaka rangi Mageti na Madirisha.

hongera sana kwa akzi nzuri. yaelekea mwenzangu wewe unakipaji hasa na pia maisha sio mabaya sana kwako.

haya niambie unampango wa kujenga kwanza?? mm naish nyumba ya kupanga manzese kwa mfuga mbwa.......
 
ila huku uwe makini zaidi,huku ni hatari zaidi,mfano hapo juu kuna kibibi kina miaka kama 72 kimekuganda kinajifanya kina miaka 22!!!!teh teh teh!jf raha

halafu weweee kwanza nani kakuita hapa??
usinipeperushie kidege changu hiki mwone kwanza.

kwanza nenda kabembeleze mtoto analia huko halafu niliskia mama analalamika eti anataka mtoto azibuliwe maskio.......
 
hongera sana kwa akzi nzuri. yaelekea mwenzangu wewe unakipaji hasa na pia maisha sio mabaya sana kwako.

haya niambie unampango wa kujenga kwanza?? mm naish nyumba ya kupanga manzese kwa mfuga mbwa.......

Doh kwangu maisha ni magumu sana, then naishi kwa mshkaji tu, sijafanikiwa kupanga, ila tukiwa pamoja tunaweza jenga mpenzi wangu.
 
hongera sana kwa akzi nzuri. yaelekea mwenzangu wewe unakipaji hasa na pia maisha sio mabaya sana kwako.

haya niambie unampango wa kujenga kwanza?? mm naish nyumba ya kupanga manzese kwa mfuga mbwa.......
Kiufupi maisha kwangu ni magumu sana, naishi kwa mshkaji tu, lakini tukiwa pamoja tunaweza jenga.
 
teh teh teh!! Naona Mkuu umeingia JF na speed 120. Kila la kheri katika kutafuta mke
 
Doh kwangu maisha ni magumu sana, then naishi kwa mshkaji tu, sijafanikiwa kupanga, ila tukiwa pamoja tunaweza jenga mpenzi wangu.

Kiufupi maisha kwangu ni magumu sana, naishi kwa mshkaji tu, lakini tukiwa pamoja tunaweza jenga.
usijali wangu sasa kwani hilo heto unaloish na mshkaji liko wapi??
je utaniruhusu nije kukutembelea?
 
oh! karibu sana sana haya sema
mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata.
niambaie kwanza elimu, kazi na umri

legeza masharti angalau ajue kusoma na kuandika kama wabunge wa ccm.
 
Doh kumbe ndio wale wale wa FB!

huyu asikutishe laazizi wangu, kwanza yeye mke alimpatia hapa hapa jamvini na harusi tukamfanyia tena ikapita baharini.
juzi walipata mtoto tumemfanyia sherehe ya ubatizo pale friends kona manzese halafu anakukatisha tamaa wewe........

mwaya mm niko siriazi kabisa
 
huyo wako kabisaaaaaaa,
hana ujanja na hatoki hapa..... lazima umkamatia kisawasawa
kweli nakuona rafiki umeshajipatia hapa..... mi na-book u-matron
Mie naomba niwe mpiga vigelegele tu si unajua siku hizi kila kitu unachangamka mapema lol.
Ila huyu mkaka kama yuko serious kapata mke maana mdada ni mrembo na haijui hata fb eti gfsonwin sijawahi kusikia unaizungumzia fb
 
Last edited by a moderator:
huyu asikutishe laazizi wangu, kwanza yeye mke alimpatia hapa hapa jamvini na harusi tukamfanyia tena ikapita baharini.
juzi walipata mtoto tumemfanyia sherehe ya ubatizo pale friends kona manzese halafu anakukatisha tamaa wewe........

mwaya mm niko siriazi kabisa

Ok. Hasa kila mtu anajua now. So tupeane namba za simu basi. Anza kuandika yako.
 
Back
Top Bottom