Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Nawatakia kila la heri dada gfsonwin na kaka Kirikou Wa Kwanza
Kaka umepata mke... yaan ni mrembo aliwahi kuwa miss manzese mwaka juzi!
haahaahaa! Mbavu zangu miye!
Last edited by a moderator:
Nawatakia kila la heri dada gfsonwin na kaka Kirikou Wa Kwanza
Kaka umepata mke... yaan ni mrembo aliwahi kuwa miss manzese mwaka juzi!
Nichukue mimi hapa.
Ninajua kila kitu hapa mjini.
Ila andaa hela za kununualia 'Obagi.
Labda magengeni arifu, kwa sababu....
khaa! Kuna wanaosubir matokeo ya pili mi nadhani wanakufaa zaid Rud mtaani! Humu wapo PHD HUtawaweza kijana!
Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV.
form 1V div ngapi vile?
form 1V div ngapi vile?
one ya 31
yaweza kuwa kweli, sababu hata formula ya ubongo wake haieleweki.one ya 31
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
mtaani kwetu tulikua tunasutana kwa mdundiko zamani siku hizi ukiwa mbea unaletewa matarumbeta na mie naogopa msuto.siumekataa kunisaidia akati we ulioneka mshenga mzuri.
hahahahahahah kazi kweli kwelione ya 31
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
yaweza kuwa kweli, sababu hata formula ya ubongo wake haieleweki.
hahahahahahah kazi kweli kweli