Nimekimbia FB nimekuja JF.

Nimekimbia FB nimekuja JF.

mwali nimepata tena wa bahari beach mweeeh!
wapambe lazima mjinyonge mwaka huu manake fikiria toto la uswaz manzese kwa mfuga mbwa leo naenda nchi ya mageti n upepo wa bahari nitake nini tena mimi yarabi.
Mwenzangu umeula walah. Mambo yakiwa sawa usitusahau wenzio kumbuka umependwa jinsi ulivyo wala mkaka hakujali unakoishi lkn hata hivyo urembo wako nao umekusaidia dear bila kusahau jinsi ulivyojitunza mpaka watu wanataka kukuzushia ili mradi wivu tu..
 
Mwenzangu umeula walah. Mambo yakiwa sawa usitusahau wenzio kumbuka umependwa jinsi ulivyo wala mkaka hakujali unakoishi lkn hata hivyo urembo wako nao umekusaidia dear bila kusahau jinsi ulivyojitunza mpaka watu wanataka kukuzushia ili mradi wivu tu..

Hasa mbona wamsifia sana akati sijawahi muona wala kuiskia sauti yake.
 
jamani sasa wewe inamaana hutakkuja kabisa kupaona nilipopanga??
mwanaume haogopi mbwa bana.

halafu nimekuuliza nikuite jina gani tamu??

honey, switi, dalingi, laazizi, msiri wangu, mwandani wangu ama lipi yarabi mpenzi wangu.

Haya basi nii Sweet.
 
uwiiiii teeeeeh teeeeh utawapata sasa humu mwe jaribu bahati yako ila kaz yako bado n kubwa kujinadi
 
Yaaalllah!
Huna kazi, huna elimu. Nani anataka kuishi kwa matumaini! Hebu kajipange walau uje na urithi wa kutoka kwa mzazi wako basi.

eeh watoto wa JF mnataka kila mtu awe amesoma japo form6 au mwataka nini nyie?
 
Back
Top Bottom