Mwenzangu umeula walah. Mambo yakiwa sawa usitusahau wenzio kumbuka umependwa jinsi ulivyo wala mkaka hakujali unakoishi lkn hata hivyo urembo wako nao umekusaidia dear bila kusahau jinsi ulivyojitunza mpaka watu wanataka kukuzushia ili mradi wivu tu..
Nichukue mimi hapa.
Ninajua kila kitu hapa mjini.
Ila andaa hela za kununualia 'Obagi.
Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV.
Haya basi nii Sweet.
kama upi sas? mie nimekutajia wangu.
halafu hujasema umri wako mm ni miaka 22 na nataman kweli kuolewa.
Namuogopa, nisadie kumuuliza.
halafu wewe unantaka ubaya haya kulala mlango kisa riziki ya mwenzio kitu gani??
huyu ni shemeji yako atii tena ukome kabisa kujipitisha pitisha ebooh!
Hata kwenye maandiko wameandika......kizuri kula na ndugu yako.
Wewe ni ndugu yangu, basi sina budi kula sahani moja na wewe jamani.
dah! wataka kuniambia atanichumbia mimi halafu
baba atamungezea na wewe kwamba nenda nao wote wawili??
sasa Kirikou Wa Kwanza anaogopa kuja nyumban kwetu manzese yeye kazoea maisha ya bahari bichi tunafanyaje??
Ewaaaaa......sasa hilo jukumu niachie mimi.
mlete huku ninapoishi angalau akae na mimi kwa miezi 6 nadhani baada ya hapo tutakuwa tumelipatia ufumbuzi hili suala.
Ila wivu marufuku.
ngoja kwanza nimuulize anataka nini??
eti sweet Kirikou Wa Kwanza utapenda kwenda kwa mdogo wangu tandale kwa mtogole nikiwa nafanya utaratibu wa kupata chumba maeneo ya kinondoni shamba?? jibu lako ndo utii wangu.
oh! karibu sana sana haya sema
mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata.
niambaie kwanza elimu, kazi na umri
Div 29
hata mm niko siriaz.
elimu yangu darasa la saba ila nafanya kazi ya kuuza steshenari hapa manzese.
pia nina ujuzi wa kupika wewe unaujuzi gani??
Ewaaaaa......sasa hilo jukumu niachie mimi.
mlete huku ninapoishi angalau akae na mimi kwa miezi 6 nadhani baada ya hapo tutakuwa tumelipatia ufumbuzi hili suala.
Ila wivu marufuku.
Mwambie pale kwa Mtogole siku hizi pamewekwa lami, hivo asiogope.
Kiufupi maisha kwangu ni magumu sana, naishi kwa mshkaji tu, lakini tukiwa pamoja tunaweza jenga.