Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
- Thread starter
- #201
Umehitimu au umemaliza??
Nimehitimu.
Umehitimu au umemaliza??
i hope utapata,
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
Una umri gani?
Naona aibu.
duuh hlo tumbo lililokatika katika lako?Basi nimeshakusaidia....natumaini utapata tu....
duuh hlo tumbo lililokatika katika lako?
mhhhh si ntajitoa roho jaman daah hayo mapingiri yananimaliza kabisaAaa mimi usinihesabie maana ni aleji na hiyo tabia, ila jiandae waleaji wengi wasio na kinyongo shepu ndio kama hizi hizi za kina MADAM T..
mhhhh si ntajitoa roho jaman daah hayo mapingiri yananimaliza kabisa
kwahiyo yako inalipiwa??? sh. ngapi nilipie plzzzEeeh habari ndio hiyo, hakuna cha bure duniani.. lazima kuna mahali utalipia tu!
kwahiyo yako inalipiwa??? sh. ngapi nilipie plzzz
nieleweshe bas mapingiri yanimaliza hayoUmenielewa kweli!