Asante mkuu kwa kuifanya jumapili yng kuwa ya furaha.....pole kwa yalokukuta.....
Siyo lazima mfanye mapenzi. Mnaweza kwenda na kuongea tu. Iwe nyumba ya wageni iwe, hotelini au hata nyumbani kwako. Kama ipo ni ipo tu utapata bila hata kulazimisha.
Aha! Alikubali kuingia gest house kufanya nini? Kama ingekuwa room kwa jamaa sawa,ningeamini hakukuwa na makubaliano ya kupigwa dushe.
hahahahaaaaa haaaaa mkuuu umenichekeshaa sanaa.....but pole
weeee unasema tu mtu kajichanga mlo wa wiki hapo halafu ndege anapotea hivihivi....
lazima apasuke mtu hapaaa aaah
Hakuwa wako huyo ndiyo maana umemkosa.
Hahaahahaa" wanaume mnajua kulalamika humu
Huyo dem **** sana mi dem akinfanyia ivo nampotezea mazma ata siku nkimkuta anabakwa napita kama simjui maamae
Chumba Hakilali Hivi Hivi Hiyo Elfu Kumi Ya Nauli Ungeenda Kutafta Bahamedi Wakulala Naye Sasa Umempa Tena Huyo Mpumbavu Imekula Kwako
kama amegoma kutoa papuchi "apigwe tu"
Kuangalia mechi za mpira kwenye TV!!!!!!!