Nimekasirika leo jamani

Nimekasirika leo jamani

makubaliano yenu ya mwanzo kabla ya kukutana ilikuwa nini?

makubaliano ni kuja ila we mwanamke unaitwa na mume wa mutu mukutane mjini na gest unakwendwa alidhani nataka tukaangaliane kama mafundi saa
 
huyo demu ni mpumbavu.amekubali vipi aingie mpaka gesti halafu agome kugongwa.kwanini hasikwmbie mapema husiingie hasara?.ungemzaba makofi na nauli husingempa

naendelea mfanyia uchunguzi kwanii alikataa kuliwa nikimaliza nitatoa taarifa hapa
 
pengine makubaliano yao hayakuwa kuvunja amri ya sita na mshikaji alitaka aitumie nafasi kwakuwa ameshakutana nae tayari, na chakula alichukulia pengine kawaida na si kwa kulipana ujira.

Mfano kwani wewe huwezi kuwa na marafiki zako ukawanunulia chakula unataka kuniambia utawadai sababu walikula chakula chako kwahiyo wakurudishie pesa zako ulizotumia kuwanunulia chakula.

Hapo tatizo makubaliano yao ya awali pengine demu hakutegemea mchezo wa ghafla inawezekana alijua watakutana kwanza kisha wafahamiane zaidi(kama kideti fulani hivi), na hata kama lengo ilikuwa kumpa mambo mshikaji avumilie atapewa tu pengine demu kajistukia siku ya kwanza kukutana na kupeana mambo akaona sio kweli, ila kila siku zitakavyoenda kitaeleweka tu

ngoja nisubiri japokuwa nshamkinai
 
Tatizo lako ulidhani kila mwanamke ni maharage ya mbeya maji mara moja! kakukomesha izo nyege zako za kitoto chimba shimo ufukie.
 
Back
Top Bottom