TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau..!
Kumbe kuwa usalama wa Taifa sio mpaka uajiriwe na wale watu.
Mwaka huu nimejikuta tu nafanya kazi za wale jamaa pasipo kujua na kuisaidia serikali kupata 20M ambayo ilikuwa inapotea kama kodi baada ya kuwachoma wakuda fulani kwa serikali na kutiwa hatiani.
Ila hawa waduanzi wakijua kihere here kitaniponza😂😂
Kumbe kuwa usalama wa Taifa sio mpaka uajiriwe na wale watu.
Mwaka huu nimejikuta tu nafanya kazi za wale jamaa pasipo kujua na kuisaidia serikali kupata 20M ambayo ilikuwa inapotea kama kodi baada ya kuwachoma wakuda fulani kwa serikali na kutiwa hatiani.
Ila hawa waduanzi wakijua kihere here kitaniponza😂😂