Miezi miwili iliyopita niliaply kazi katika kiwanda kimoja cha usindikaji wa samaki wameniita kwenye interview tarehe 22january ila tatizo sasa sina nauli nimemwambia mzee auzee hata vishamba vyake na nyumba amekataa daa nishaurini nifanyaje nakama mnavyo jua bongo maisha magumu
Ogopa matapeli, siku zote huja kwa kutaka kuonewa hurumaFungua akaunti skype na ufanye interview kwa internet, utaenda huko halafu ufeli itakuwaje?
Ogopa matapeli, siku zote huja kwa kutaka kuonewa huruma
Miezi miwili iliyopita niliaply kazi katika kiwanda kimoja cha usindikaji wa samaki wameniita kwenye interview tarehe 22january ila tatizo sasa sina nauli nimemwambia mzee auzee hata vishamba vyake na nyumba amekataa daa nishaurini nifanyaje nakama mnavyo jua bongo maisha magumu
Miezi miwili iliyopita niliaply kazi katika kiwanda kimoja cha usindikaji wa samaki wameniita kwenye interview tarehe 22january ila tatizo sasa sina nauli nimemwambia mzee auzee hata vishamba vyake na nyumba amekataa daa nishaurini nifanyaje nakama mnavyo jua bongo maisha magumu
Jamani ex kidumu kwani mswahili hawezi? Tehe teheMiaka hii ya kisasa na mi-skype na teleconferences interview hata arusha hatuendi. Wakishahakikisha wanakutaka ndo unaenda uso kwa uso.
Kiwanda cha samaki norway wanataka mswahili? Unaenda kuwa mkurugenzi?
Ninachofahamu ni kuwa ukiitwa for an out of town interview, most companies would either pay upfront for your traveling expenses, or reimburse you after the interview.Miezi miwili iliyopita niliaply kazi katika kiwanda kimoja cha usindikaji wa samaki wameniita kwenye interview tarehe 22january ila tatizo sasa sina nauli nimemwambia mzee auzee hata vishamba vyake na nyumba amekataa daa nishaurini nifanyaje nakama mnavyo jua bongo maisha magumu
Why uliomba kazi huko wakati nauli huna?
matumizi mabaya ya mitandao,