Nimeikuta sehemu

Nimeikuta sehemu

Very simple and it’s just basic common sense.

Kama huna la kuficha kwenye simu yako basi pia hutokuwa na shida mpenzi wako akiishika simu yako.

Huna la kuficha, huna baya ulifanyalo kwenye hiyo simu, sasa kiroho dunda cha nini mpenzi wako akiishika simu yako?

You share far more intimate things like emotions, bodily fluids, bad breath, etc., but when it comes to a stupid phone, it’s a no no?

Come on now….I ain’t no Boo Boo the Fool.
 
Ni sahihi.
Mimi nashika simu na ninakagua haswa. Yaani nakagua kweli kweli na vile babe wangu mshamba wa simu anajua akifuta kitu ndio kimefutika mimi naenda hadi kwenye bin kukagua. Kwa kweli nakagua uwiii na sina mpango wa kuacha.

Hahahaha na siku moja moja namsaidia kupost picha yake akiwa na familia yake ambayo ndio sisi. Naweka status na ka caption fulan kazuri ka heshima. Anakuja kuona anacheka tu. Bila kusahau kumbadilishia profile picture heheheee leo namweka prince mwezi ujao princes. Yeye anakuwa hata hajui ni profile gani ipo kwenye whatsap yake mpaka ajione kwenye simu yangu.

Kwakweli nakagua simu nakutana na matukio wakati mwingine nawasha moto balaa na hiyo inamrudisha kwenye mstari kabla hajapotea zaidi.

Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.
 
1. Huyo mwenzio ana watu anataniana nao, kuna matani huwa yanaonyesha watu wana mahusiano ya kimapenzi ingawa hapana, UTAWEZA KUTOFAUTISHA KWAMBA HUU NI UKWELI AUA LA?

2. Kuingia kwenye mahusiano, haimaanisha huyo mtu hana private life.

3. Kwanini simu pekee? Kama una maanisha basi siku nyingine mwaume avae sidiria ya mkewe au mpenzi wake..!!

BY THE WAY, USIMCHUNGUZE MTU AMBAYE KUMUACHA HUWEZI
Seconded
 
Ni sahihi.
Mimi nashika simu na ninakagua haswa. Yaani nakagua kweli kweli na vile babe wangu mshamba wa simu anajua akifuta kitu ndio kimefutika mimi naenda hadi kwenye bin kukagua. Kwa kweli nakagua uwiii na sina mpango wa kuacha.

Hahahaha na siku moja moja namsaidia kupost picha yake akiwa na familia yake ambayo ndio sisi. Naweka status na ka caption fulan kazuri ka heshima. Anakuja kuona anacheka tu. Bila kusahau kumbadilishia profile picture heheheee leo namweka prince mwezi ujao princes. Yeye anakuwa hata hajui ni profile gani ipo kwenye whatsap yake mpaka ajione kwenye simu yangu.

Kwakweli nakagua simu nakutana na matukio wakati mwingine nawasha moto balaa na hiyo inamrudisha kwenye mstari kabla hajapotea zaidi.

Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.
Hongera mkuu,
 
Ndiyo
Kuna kucheza game

Kupiga picha kali,labda mmoja wenu ana simu ina camera nzuri

Kuna kuitumia kupiga simu kwa watu wa muhimu mfano wazazi
Wengine kuunga bando la dakika ni kipengele

Kuna kuitumia kuperuzi mtandaoni..maybe mmoja bando lomekata
Hivyo anaaccess simu ya mwenzie nakujihotspot ama kuitumia direct.
Kuna ka pepo tu ka kuangalia DM Instagramna Facebook, WhatsApp Chats, yaani utajikuta tu😁😁😁😁😁 mimi sirudii tena aiseee nilichokuta kwenye simu ya Mr 🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom