Nimeikuta sehemu

Nimeikuta sehemu

Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?

Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Unataka kupunguza porpulation duniani? Imagine unashika simu ya mtu unakuta ana wapenzi zaidi ya kumi na wote anawahonga mapesa kibao na anaenjoy nao maisha halafu that person is said to be your belove husband na mna watoto

Will you spare his life? Mambo ya simu hebu tuachane nayo kabisa mimi sishiki simu ya mtu hata kama namuamini kiasi gani
 
Unataka kupunguza porpulation duniani? Imagine unashika simu ya mtu unakuta ana wapenzi zaidi ya kumi na wote anawahonga mapesa kibao na anaenjoy nao maisha halafu that person is said to be your belove husband na mna watoto

Will you spare his life? Mambo ya simu hebu tuachane nayo kabisa mimi sishiki simu ya mtu hata kama namuamini kiasi gani
Kwahiyo ni kweli kwamba wanaoficha simu zao kuna mambo machafu wanayafanya?
 
Very simple and it’s just basic common sense.

Kama huna la kuficha kwenye simu yako basi pia hutokuwa na shida mpenzi wako akiishika simu yako.

Huna la kuficha, huna baya ulifanyalo kwenye hiyo simu, sasa kiroho dunda cha nini mpenzi wako akiishika simu yako?

You share far more intimate things like emotions, bodily fluids, bad breath, etc., but when it comes to a stupid phone, it’s a no no?

Come on now….I ain’t no Boo Boo the Fool now.
Nashangaa ,watu wanashare wanashare vitu vingi ila simu zao hawataki ziguswe.
 
Ni sahihi.
Mimi nashika simu na ninakagua haswa. Yaani nakagua kweli kweli na vile babe wangu mshamba wa simu anajua akifuta kitu ndio kimefutika mimi naenda hadi kwenye bin kukagua. Kwa kweli nakagua uwiii na sina mpango wa kuacha.

Hahahaha na siku moja moja namsaidia kupost picha yake akiwa na familia yake ambayo ndio sisi. Naweka status na ka caption fulan kazuri ka heshima. Anakuja kuona anacheka tu. Bila kusahau kumbadilishia profile picture heheheee leo namweka prince mwezi ujao princes. Yeye anakuwa hata hajui ni profile gani ipo kwenye whatsap yake mpaka ajione kwenye simu yangu.

Kwakweli nakagua simu nakutana na matukio wakati mwingine nawasha moto balaa na hiyo inamrudisha kwenye mstari kabla hajapotea zaidi.

Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.
😂😂😂
 
Kwanza lengo la kushikiana simu ni nini?
Kama ni kukaguana/kulindana na kufuatiliana basi jibu langu ni big No.

Mtu mzima na akili zake timamu akiamua jambo lake atalifanya tu
Kabisa,.mimi hata ukisahau simu yako hapo sigusi, tena naweza hama chumba kabisa ili nisishawishike kuigusa, naogopa kuvunja trust niliyonayo kwa mtu maana ikivunjika I won't trust him ever, and you know what it means? Hakutakua na mapenz tena na familia itavunjika vipande, bora tubaki hivihivi hata kama ana mambo yake mradi nisiyajue kabisaaa
 
Ndio wanapaswa kuwa huru.

Faida:
1. Itajulikana nani kati yao ana ngumi na kofi kali zaidi na leyenye nguvu zaidi ya mwenzie.

2. Itajulikana nani ana matusi makali zaidi na ya nguoni zaidi mwenzake.

3. Itasaidia Jamii kujua kwenye tendo nani ni dhaifu zaidi ya mwingine na ni mchafu zaidi.

Hasara:
1. Mauaji, uharibifu na kujeruhiana kimwili na kiroho.

2.Watoto kama wapo watapata tabu sana.

3.ni mapoyoyo tu ndio yatasameana

4. Uadui na uhasama utadumu daima na milele hadi kifo kiwatenganishe...
😂
Hivi kwani simu zinatisha kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom