Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,163
- 18,852
Do it at your own peril.
Nakazia 📌📌Unaposajili laini kuna karatasi ya vigezo na masharti huwa ina vipengele vingi huwa hatusomi. Laini ya simu na simu ni mali ya mtu mmoja. Na faragha ni baina ya mwenye laini na mtoa huduma hakuna mtu wa 3 ambaye ni mpenzi anahusika.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Duuuh🤔🤔Nilishawahi kuingia kwenye simu ya fiance wangu ; to my surprise, only to find out yeye ndio anatongoza ma men na kuwatumia picha za uchi.
Ila nilichokuja kumfanyia, nasikia hatosahau, nilimvisha pete ivo full , kwa wazaz ndugu zake na friends . Only kuja ku msurprise kwa wachungaji wake nawazaz kuwa she is a nasty……
nilimtumia dada zake, shost zake, mchungaji wake , baba na mama yake all her nasty videos and sms
Then niliwaandikia with those video and sms , ndio mnataka kuniozesha huyu mtu
And then I never showed up
Alilia sana . Sikuwah kujibu text wala sms wala calls zozote. Nilikuwa kila siku napokea calls na sms zaid ya 100 kutoka kanisan kwao na home kwao.
Ushenz hujibiwa kwa ushenzi
Duh!Nilishawahi kuingia kwenye simu ya fiance wangu ; to my surprise, only to find out yeye ndio anatongoza ma men na kuwatumia picha za uchi.
Ila nilichokuja kumfanyia, nasikia hatosahau, nilimvisha pete ivo full , kwa wazaz ndugu zake na friends . Only kuja ku msurprise kwa wachungaji wake nawazaz kuwa she is a nasty……
nilimtumia dada zake, shost zake, mchungaji wake , baba na mama yake all her nasty videos and sms
Then niliwaandikia with those video and sms , ndio mnataka kuniozesha huyu mtu
And then I never showed up
Alilia sana . Sikuwah kujibu text wala sms wala calls zozote. Nilikuwa kila siku napokea calls na sms zaid ya 100 kutoka kanisan kwao na home kwao.
Ushenz hujibiwa kwa ushenzi
JIbu sahihi ni kuwa ukitaka kujipa maradhi ya moyo fungua simu ya mpenzi wako na usome message zake!Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?
Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Duh!
Mkuu
Ungemuacha tu pasi na kumuadhibu hivyo
Na wewe utakuwa tayari kuadhibiwa hivyo na mpenzi wako endapo utakosea?Ushenzi hujibjwa kwa ushenzi
Nasikia baada ya hilo tukio ametulia now
Hata devil in the garden was also doing GOD works
Ongera Sana huo ndio uhuru na mwenza wako waache awa viruka njiaNi sahihi.
Mimi nashika simu na ninakagua haswa. Yaani nakagua kweli kweli na vile babe wangu mshamba wa simu anajua akifuta kitu ndio kimefutika mimi naenda hadi kwenye bin kukagua. Kwa kweli nakagua uwiii na sina mpango wa kuacha.
Hahahaha na siku moja moja namsaidia kupost picha yake akiwa na familia yake ambayo ndio sisi. Naweka status na ka caption fulan kazuri ka heshima. Anakuja kuona anacheka tu. Bila kusahau kumbadilishia profile picture heheheee leo namweka prince mwezi ujao princes. Yeye anakuwa hata hajui ni profile gani ipo kwenye whatsap yake mpaka ajione kwenye simu yangu.
Kwakweli nakagua simu nakutana na matukio wakati mwingine nawasha moto balaa na hiyo inamrudisha kwenye mstari kabla hajapotea zaidi.
Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.