Nimeikuta sehemu

Nimeikuta sehemu

Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?

Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316

Nilishawahi kuingia kwenye simu ya fiance wangu ; to my surprise, only to find out yeye ndio anatongoza ma men na kuwatumia picha za uchi.

Ila nilichokuja kumfanyia, nasikia hatosahau, nilimvisha pete ivo full , kwa wazaz ndugu zake na friends . Only kuja ku msurprise kwa wachungaji wake nawazaz kuwa she is a nasty……

nilimtumia dada zake, shost zake, mchungaji wake , baba na mama yake all her nasty videos and sms

Then niliwaandikia with those video and sms , ndio mnataka kuniozesha huyu mtu

And then I never showed up

Alilia sana . Sikuwah kujibu text wala sms wala calls zozote. Nilikuwa kila siku napokea calls na sms zaid ya 100 kutoka kanisan kwao na home kwao.

Ushenz hujibiwa kwa ushenzi
 
Nilishawahi kuingia kwenye simu ya fiance wangu ; to my surprise, only to find out yeye ndio anatongoza ma men na kuwatumia picha za uchi.

Ila nilichokuja kumfanyia, nasikia hatosahau, nilimvisha pete ivo full , kwa wazaz ndugu zake na friends . Only kuja ku msurprise kwa wachungaji wake nawazaz kuwa she is a nasty……

nilimtumia dada zake, shost zake, mchungaji wake , baba na mama yake all her nasty videos and sms

Then niliwaandikia with those video and sms , ndio mnataka kuniozesha huyu mtu

And then I never showed up

Alilia sana . Sikuwah kujibu text wala sms wala calls zozote. Nilikuwa kila siku napokea calls na sms zaid ya 100 kutoka kanisan kwao na home kwao.

Ushenz hujibiwa kwa ushenzi
Duuuh🤔🤔
 
Nilishawahi kuingia kwenye simu ya fiance wangu ; to my surprise, only to find out yeye ndio anatongoza ma men na kuwatumia picha za uchi.

Ila nilichokuja kumfanyia, nasikia hatosahau, nilimvisha pete ivo full , kwa wazaz ndugu zake na friends . Only kuja ku msurprise kwa wachungaji wake nawazaz kuwa she is a nasty……

nilimtumia dada zake, shost zake, mchungaji wake , baba na mama yake all her nasty videos and sms

Then niliwaandikia with those video and sms , ndio mnataka kuniozesha huyu mtu

And then I never showed up

Alilia sana . Sikuwah kujibu text wala sms wala calls zozote. Nilikuwa kila siku napokea calls na sms zaid ya 100 kutoka kanisan kwao na home kwao.

Ushenz hujibiwa kwa ushenzi
Duh!
Mkuu

Ungemuacha tu pasi na kumuadhibu hivyo
 
Kama hakuna mashaka yoyote bhasi kila mtu ashike simu yake... Nikikuhisii kama nakupenda lazima kukaguana.
 
Ushenzi hujibjwa kwa ushenzi

Nasikia baada ya hilo tukio ametulia now

Hata devil in the garden was also doing GOD works
Na wewe utakuwa tayari kuadhibiwa hivyo na mpenzi wako endapo utakosea?
 
Ni sahihi.
Mimi nashika simu na ninakagua haswa. Yaani nakagua kweli kweli na vile babe wangu mshamba wa simu anajua akifuta kitu ndio kimefutika mimi naenda hadi kwenye bin kukagua. Kwa kweli nakagua uwiii na sina mpango wa kuacha.

Hahahaha na siku moja moja namsaidia kupost picha yake akiwa na familia yake ambayo ndio sisi. Naweka status na ka caption fulan kazuri ka heshima. Anakuja kuona anacheka tu. Bila kusahau kumbadilishia profile picture heheheee leo namweka prince mwezi ujao princes. Yeye anakuwa hata hajui ni profile gani ipo kwenye whatsap yake mpaka ajione kwenye simu yangu.

Kwakweli nakagua simu nakutana na matukio wakati mwingine nawasha moto balaa na hiyo inamrudisha kwenye mstari kabla hajapotea zaidi.

Nyongeza: nanusa hadi nguo sitaki ujinga.
Ongera Sana huo ndio uhuru na mwenza wako waache awa viruka njia
 
Back
Top Bottom