Nimeikuta sehemu

Nimeikuta sehemu

Sasa sababu ya kuwa wapenz tena in a love relationship ni ipi km simu zenu hamruhusiani ht kuchungulia kwa uhuru,

Wengi mnaishi kwenye mahusiano feki hayo sio mapnz bali ni kupotezeana muda na kuchezeana akili tu

Wapenz wa kweli hawafichani what they have at all,
I second this.

Watu hawako real, unawezaji kulala na mtu kitanda kimoja wakati simu yake hurusiwi kuishika.
 
Nikiwa kwenye ndoa au sirious relationship sim ya mpenzi wangu ni lazima nishike na nikague nn anafanya kwenye sim yake kwasabab dunia ya saiz zaid ya 80% ya tabia za mtu zipo ndani ya simu so siwez kuacha kukagua sim. Kukwepa kushika sm ya mpenz ni sa na kula funza gizani ukategemea unakuka chakula salama hiyo hali siwezi kabisa. Na yey namruhusu ashike yangu tena nampa na password
 
Back
Top Bottom