Polisi ya tz ni wapumbavu ilo ni jukumu lao kutrack wahalifu bure wakimkamata huyo muhalifu ndiyo abanwe siyo wewe uliye ibiwa uwalipe wapumbavu wakutrakie mwizi ...kazi ya polisi ni gani sasa? Tuna ndiyo maana kuna tuhuma kuwa polisi wakimtrack mwizi na kumpata wanamalizana naye juu kwa juu na pesa yako inakuwa imeliwa ...wanachukua kwa muhalifu na wanachukua kwako.na eimu upatiwi wanakuambia atujampata .
Ndiyo maana awatoagi takwimu ya simu walizo track na kuzi kamata ..kama ni kulipia huduma ilitakiwa walipishwe wahalifu walio kamatwa na simu siyo vinginevyo ...jeshi la polisi linaongozwa na watu wapuuzi wasio na akili kabisa wanalipwa mishahara bure tuPolisi nao ni wezi tu
juz wamekula elfu 40 ya jamaa yangu na hamna chochote walichofanya
Ukiripoti umewapa dili wanakula kotekote, wana mtrack wanampata wanamtoa hela na simu wanabaki nayoPolisi ya tz ni wapumbavu ilo ni jukumu lao kutrack wahalifu bure wakimkamata huyo muhalifu ndiyo abanwe siyo wewe uliye ibiwa uwalipe wapumbavu wakutrakie mwizi ...kazi ya polisi ni gani sasa? Tena ndiyo maana kuna tabia kuwa polisi wakimtrack mwizi na kumpata wanamalizana naye juu kwa juu na pesa yako inakuwa imeliwa ...wanachukua kwa muhalifu na wanachukua kwako.na eimu upatiwi wanakuambia atujampata .
Wapo watu wengi waishapata simu hasa Ikwa kui track....!!!Nimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Sim gan unataja tu thaman nyoosha maelekezoNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Hawa mafara wa ccm ndicho wanacho fanyaga ...huyo jamaa asitoe hela awaambie wakimkamata mwizi ndiyo anawapa kama awataki basiUkiripoti umewapa dili wanakula kotekote, wana mtrack wanampata wanamtoa hela na simu wanabaki nayo
Pole,sim ya laki SITA ya nini aiseh!!?Hata kula sijala leo
Pole sanaHata kula sijala leo
Kwani we' una undugu na Mshana Jr...!!?Nina mgangaa mzuri atakayee fanyaa mwizii aletee cm mpk ulipo hata km hapajui kwakoo 🤔
Kwa msaada zaidi njoo pm nikutapelii🚬
Achana nayo,polisi watakula pesa na mbunye na bado hutaipataNimeibiwa sim na nisharipot police
Sasa niitrack au police watakula ela zangu
Nawaza niachane nayo tu lakini moyo unasema labda nijaribu upande mwingine naona nitapoteza mida na fedha
Maana nimejaribu kupitia nyuzi hapa hamna mtu anakiri alishawahi pata simu kwa kupitia police
Tusipangiane la kufanya tafadhari....Pole,sim ya laki SITA ya nini aiseh!!?
Mwisho laki mbili TU mbona,Kuna mengi yakufanya pia!!
Pole!