Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
asante kwa kunitusi mkuu nakuombea usiibiwe wala kutapelia siku zote uwe mjanja tu
Mkuu sijakutukana, nilichosema shukuru hawajakufanyia kitu kibaya maana kwa maelezo yako ulilala fofofo kwamba mtu au watu wakaingia kwako, wakakata nyavu wakaingia ndani,akachukua funguo akafungua mlango,akawasha taa,akaenda sebuleni akapekua pekua ndani.
Kisha akachukua tv na rimoti yake tu kisha akafunga na kukurushia ufunguo hapo tu bado hujashtuka,hapo ulilala au ulikua umekufa, mwanaume unalalaje hivyo aisee.
Kwa maelezo yako ingewezekana kabisa hao watu kukufanyia ubaya wewe na mke wako maana mlikua hamjitambui.
Ndio maana nikasema shukuru wahajaku- David Cameroon.