Dawa hiyo ya usingizi inaitwaje?
inapatikana wapi?
mbona kuna watu hawapi usingizi na hawaambiwi lolote kuhusu hiyo dawa?
nani aliita ni dawa ya usingizi?
Mkuu pole sana...inshort inahitaji ujipange upya katika safu yako ya Security hapo Home kwako tayari weakness imeshaonekana..Kama utaweza jaribu kutumia ulinzi wa mbwa ni Salama na hauna rushwa wala hongo....Mimi nina German shepherd wawili tangu niwe nao sijawahi pata tatizo lolote iwe mchana hata usiku.
Ni walinzi wazuri sana..useme bei yao, mafunzo na msosi ndo inaweza kua shida kidogo ila ni afadhari kuliko kuweka masai.
View attachment 266122
Kijam..mbiooo na roho yake teh we mwita vipi!?
hivi mnajua kuwa mkojo ni kiboko ya makufuri yaliyoimara???
Jamaa wanatumia dawa mkuu,wanakuja dirishani kwako wanapuliza,utalala fofofo huku wao wanafanya Yao..
kweli mkuu Mbwa mwenye mafunzo ndio mpango mzima kwa vibaka kama hawa.
Wamasai siku hizi hawa maana kabisaa,wanajifanya watu wa kupiga dili vibaya.
Bora Paka kuliko kuweka Mmasai kama mlinzi
Hembu nipe cost ya Shepherd hapo na gharama za kila siku kuwahudumia
Step by Step,acha kupanic mkuu.
Humu JF humu kuna kipindi Jokes kama hizi ambazo ni serious Jokes kuchekeshana .
Hii Stye humu JF huwa inaitwa Raha ndani ya Shida
Yaani wewe umeibiwa,badala ya ushauri watu wanajipa raha kwa jokeskwanza,then we vumilia ushauri unakuja.
Acha kwanza watu waburudike
Unataka urudi kuvimalizia.??
Mkuu pole sana...inshort inahitaji ujipange upya katika safu yako ya Security hapo Home kwako tayari weakness imeshaonekana..Kama utaweza jaribu kutumia ulinzi wa mbwa ni Salama na hauna rushwa wala hongo....Mimi nina German shepherd wawili tangu niwe nao sijawahi pata tatizo lolote iwe mchana hata usiku.
Ni walinzi wazuri sana..useme bei yao, mafunzo na msosi ndo inaweza kua shida kidogo ila ni afadhari kuliko kuweka masai.
View attachment 266122
hivi mnajua kuwa mkojo ni kiboko ya makufuri yaliyoimara???
Sema ulisikia ukaogopa;huna maana bora ungekaa kimya;Yaani nyumba yote msisikie,au walikutuliza ukawa mpole;sasa unatueleza tufanyeje?NENDA POLISI
Pole sana. Weka komeo pia funguo usitoe kwenye Kitasa pia ipinde isiwe 90 degree kwa kuwa itakuwa rahisi kuisukuma kwa kutumia funguo nyingine. Pia kazi ya kufunga milango usi delegate kwa Wife uifanye mwenyewe kujiridhisha. Mbwa ni mzuri ila siku hizi wezi wanajipaka mafuta ya Chatu na mbwa akisikia harufu hujikunyata kama kuku alielowana.
Pole sana. Weka komeo pia funguo usitoe kwenye Kitasa pia ipinde isiwe 90 degree kwa kuwa itakuwa rahisi kuisukuma kwa kutumia funguo nyingine. Pia kazi ya kufunga milango usi delegate kwa Wife uifanye mwenyewe kujiridhisha. Mbwa ni mzuri ila siku hizi wezi wanajipaka mafuta ya Chatu na mbwa akisikia harufu hujikunyata kama kuku alielowana.
Huna lolote ulisikia ukanywea;siku nyingine hata mkeo wata........shauri yako