Ushauri wangu, naomba umtumie screen shot hizo kwanza usikie reaction yake, usitume kwa wazazi wake. Mtumie yeye mwenyewe kwanza, baadae shirikisha wazazi wa pande if possible ili kumaliza urafiki kwa amani na bila kinyongo cha wazazi wako/wake.
Kwa kweli Mungu asimame kati ili utoke salama mkuu, maana hayo ni maumivu makali sana na unahitaji busara na akili zaidi kuepuka kwenda rumande. Jitahidi sana kuendelea na uvumilivu uliouonesha maana "Hasira Hasara", unaweza kutumia nguvu kubwa ukavuruga maisha yako yote duniani, vuta subira, tumia hekima, busara na utu kutatua hiyo changamoto.
Sent from my Infinix X680 using
JamiiForums mobile app