nimefumania

nimefumania

Follow your heart. maana umeshasema huwezi ishi bila yeye so chukua hatua ya kusamehe naamini hata yeye atakuwa amejifunza kitu na kama kuna mahali ulikuwa humtendei haki akatoka rekebisha. Mungu atawasimamia maana mara zote anapenda mapatano. Kusamehe hakuna ukomo na haijalishi aina ya kosa. Mrudishe mkeo na maisha yatakuwa mazuri
 
Forgive your wife andd God will bless your life. Hakuna mwanadamu asiyetenda kosa na la msingi angalia wapi ulikuwa humtendei haki rekebisha na kubwa sana umridhishe mkeo.
 
Wakati wote wa maisha yangu kabla ya sasa nilikula kihapo changu cha kutomsamehe mke wangu iwapo atafanya mambo yafuatayo: 1. kunilisha limbwata
2.nikimfumania
lakini hili lime nipata na najishahuri kutekeleza kihapo changu.mke wangu nimwemwambia aende kwao,sijamwambia kuwa nimemuacha.Roho yangu sasa haipo radhi kwani nimemzoea .sasa waungwana nifanye nii?

Mke wa ndoa au mke wa kisingizio?
 
kwanza nikupe pole kwa mkasa uliokupata...Jitahidi kufanya maamuzi kutokana na nafsi yako.Unatakiwa kufikiria mara mbilimbili kabla ya kufanya maamuzi yoyote,Mshirikishe Mungu pia
 
Maamuzi unayo mwenyewe hakuna mtu atakayekusaidia wewe ndiye unayejua ni kiasi gani unamhitaji lakini chunguza ni nini kimekufanya akusaliti wengine huwa busy na mambo yetu na kusahau kuwa mke anahitaji zaidi ya pesa za matumizi ukishajichunguza itakuwa rahisi kutoa maamuzi
 
fanya kile ambacho moyo unakwambia ufanye maana ukienda against nao hutokuwa na amani
 
Mkuu Nata hilo ndilo swali la kwanza kunijia mawazoni mwangu.. Jee jamaa ni msafi kiaci gani..? Ameshawahi kucheat nje.? Kwa mujibu wa imani ya dini yangu.. talaka inatoka kwa sababu moja tuu.. nayo ni kuzini.. Kama hajawahi kucheat nje baci ana kila sababu ya kuivunja ndoa hiyo.. Ila kama alikuwa anakamata na yeye mizigo huko nje baci amsamehe na waendelee na maisha japo inauma.. Manaa mara nyingi mtenda akitendewa anajihici kuonewa..

katika kiapo chake kwa mkewe, jamaa hakuweka conditions kama ata cheat au la. so mimi naona asimamie kiapo chake.
 
Back
Top Bottom